Muda ni protocol ya usafiri kwenye msiba wa Malkia, kila kiongozi angetumia usafiri wake kungekuwa na foleni

Hata Mimi siwapendi mambo yao, lakini huwezi kunitowa akili ya kutofautisha msiba na official state visit.

Hao wote Leo wanakwenda Marekani UN, fuatilia mapokezi yao utaona tofauti ya protocol ilivyo.

Tusiache mioyo yetu ikajaa chuki ya kupitiliza.
Ile safari aliyofanya SSH huko Marekani ilikuwa inaitwaje tena, hebu nikumbushe. Je alipokewa na nani vile! Je alinusa hata harufu ya Jemadari Mkuu mwenzake?
 
eti wazungu hawaja hoji.....lazima tuhoji mambo yakula hela za walalahoi na kutanua nani anapenda hawa ndo ikitokea vurugu akatafuta hifadhi nitamnyanyasa ki......
 
Uongo, si wangeingia na convoy zao wanashushwa gari zinatoka na zingine zinaingia fasta fasta tu.
 
Hata utetee nini. Tushajuwa miungu mitu yaweza panda Hiace. Coaster hata daladala. Mzungu katuonyesha😁😂🤣😅👉☝️✌👌👏👏👏
 
Hata utetee nini. Tushajuwa miungu mitu yaweza panda Hiace. Coaster hata daladala. Mzungu katuonyesha😁😂🤣😅👉☝️✌👌👏👏👏
Mbona juzi tu mama kasafiri na boat ya Azzam kutoka Zanzibar?
 
Ile safari aliyofanya SSH huko Marekani ilikuwa inaitwaje tena, hebu nikumbushe. Je alipokewa na nani vile! Je alinusa hata harufu ya Jemadari Mkuu mwenzake?
Mimi siyo chawa labda unanifananisha, hiyo ni kazi ya machawa wa Samia.
 
Shukran nyingi ziende kwa wazungu kwakuwarundika miungu watu wa Africa kwenye mwendokasi.
 
..kuanzia sasa hatutaki utitiri wa MISAFARA hapa nchini.

..viongozi waanze kutumia usafiri wa pamoja ktk ziara za ndani.
 
Wewe ni miongoni mwa wale waliokosa lishe bora na kupelekea akili kudumaa.

Mnashindwa kutofautisha kitu kidogo tu msiba na official state visit.
Biden alikuwa amekwenda harusini sio msibani
 
Mimi siyo chawa labda unanifananisha, hiyo ni kazi ya machawa wa Samia.

..kwa mfano kwenda uwanja wa ndege kumpokea au kumuaga Raisi kwanini viongozi wasitumie usafiri wa pamoja?

..ua Raisi anapokuwa ktk ziara mikoani ni vema kama viongozi wa chini yake, na wasaidizi watatumia usafiri wa pamoja ili kubana matumizi.

..pia idadi ya viongozi wenye misafara ipunguzwe. Wakati wa Mwalimu Nyerere, Raisi, Makamu, na Waziri Mkuu, walikuwa viongozi pekee wenye misafara.

Siku hizi idadi ya viongozi wenye misafara imeongezeka kupita kiasi. Ongezeko hilo ni mzigo kwa walipa kodi.
 
Usafiri wa basi uendelee hata hapa nchini,badala ya V8, 80 tutumie mabasi manne ,Mkuu wa nchi ndiye apewe 'state car' ,tubane matumizi
Na maendeleo yatakuja kweli. ? Rushwa itapungua kweli.? Muda utatosha kweli??
 
We ndio huna akili,ishu sio kupanda basi ishu ni kwa nini wakija huku misafara yao inakuwa na magari 60,wakati wangeweza kupunguza gharama
Mkuu, sasa ukiweka mawaziri wote ndani ya bus moja kisha likatokea la kutokea hauoni kama unaweza kukuta tunapoteza serikali nzima ndani ya dakika chache tu/within fraction of a second?

Lakini hao marais waliopanda bus moja hata likitokea la kutokea kila nchi inakuwa imepoteza Rais mmoja mmoja tu. Kumbuka mawaziri wote ni marais watarajiwa.

NB: Siombei jambo lolote baya kwa viongozi wetu na hata wa nchi jirani. Mungu tunakuomba uepushie mbali wote warudi salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…