Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Mijitu inamfuata pedophile Mohammad aliyeoa kitoto cha miaka 6 ndiyo maana inakuwa mipumbavu, inaanzisha vita na kujificha kwa raia, na raia nao hawaoni hatari itakayowapata. Mohammad pedophile, Allah shetani lazima mijitu isiwe na hekima. Na usikute aliyetaka kumuua Trump huko Pennsylvania akawa ni Muislamu maana Maislamists huko USA imepaniki inapoona Trump atarudi madarakani
 
Rudia kusoma ulichoandika
 
hazina huo uwezo. na trump anaenda kushinda ndio nchi hizi zitapata shida sana. kama jana, Mohamed Dief na walinzi wake kama 70 walienda kujificha kwenye jengo, mwisrael akawaona, bomu alilorusha limechimba bonge la shimo yaani pale waliokuwa kwenye jengo wamegeuka unga. jamaa wamemtafuta kwa miaka mingi sana na jana wamemuua. inasikitisha lakini.
 
Sasa kuna vita ambavyo wanajeshi hawafi?! We kweli punguani
 
Digrii za theology hazisaidii chochote wakati hao wenye nazo wanachagizwa na masheikh ambao wamesoma mitaani tu. Hakuna aliyeweza kujibizana na Ahmed Deedat akamshinda ambaye mwenyewe alijisomea vitabu peke yake blla kwenda chuo
 
Mtanyooka waislam
Tuko kwenye mstaari na tunainyoosha Israel baada ya kuinyoosha Marekani kule Afghanistan.Na sio sisi bali ni yule aliyetuumba sote ndiye anayetoa mnyoosho.
Usipime kwenye vifo vya wapalestina pekee bali angalia jinsi Israel inavyoporomoka katika kila kipembe baada ya miezi 9 ya vita.
 
Sawa basi vita iendelee tumshkuru Allah kwa kuinyosha israel
 
Digrii za theology hazisaidii chochote wakati hao wenye nazo wanachagizwa na masheikh ambao wamesoma mitaani tu. Hakuna aliyeweza kujibizana na Ahmed Deedat akamshinda ambaye mwenyewe alijisomea vitabu peke yake blla kwenda chuo
Ishu siyo kujibizana ndio maana masheikh wanalalamika wanatembea kwa miguu wakati Maa Askofu wana magari mnafeli wapi amkeni !! Nenda uarabuni uone waarabu wanavyobaguana wao kwa wao wewe utawekwa wapi ? Dini gani ambayo watu wanabaguana wao kwa wao. Waafrika waislamu walioishi uarabuni wanajua kuwa walikosea lakini wanakubali maana akifikiria mke na watoto atawaambia nini.
 
Yaani hapa ni sawa na Kinjekitile Ngwale kwenye MAJI MAJI πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ . Unashinda misikitini halafu unategemea utampiga Myahudi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Mbona Israel ipo hapo toka 1948 mmeshindwa nini ? Watu wamejipanga bwana hawakuamka na kusema wanaanzisha taifa la Israel. Zionisim ilianza 1897 na Mheshimiwa Theodor Herzl, mwaka 1948 ndio Taifa likazaliwa. Naomba unipe gap ni miaka mingapi hapo ?
 
Umehamia kwa Hizbollah si Hamas tena?
 
Dini ni bangi?
 
Wewe unauesema waislamu unakosea, waislamu wapo Afrika uarabuni hakuna waislamu bali madhehebu ya kiislamu, na madhehebu ya kiislamu yana maslahi ya kimadhebu. Mfano Irani anaposaidia Gaza anaeneza nguvu sake za kishia ndo maana sio rahisi Said Arabia kuungana naye. Huku Tanzania ndo munafikiri uislamu ni mmoja lakini sivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…