Muda umefika wajumbe wa nyumba kumi wapatikane kwa kushindanisha vyama vyote kama ilivyo kwa viongozi wa mtaa, Kijiji na kitongoji

Du! Elimu ya uraia ngumu sana kwa baadhi ya watu. Toka 1 Julai 1992 hatuna mabalozi kiserikali
Mimi nilipoenda kusainisha fomu ya bodi ya mkopo(HESLB) kwa mwenyekiti wa mtaa nilitakiwa barua ya balozi!
 
Balozi wa nyumba 10 hayupo kikatiba.
 
Ni kweli.
Muundo wa serikali unahitaji kushuka chini Kwa ngazi ya ubarozi.
Kwa Sasa chama tuu ndo kina mabarozi serikali Haina mabarozi.
serikali inapiga kimyaaa... inaogopa kuombwa mshahara punde tu ikiwatambua ki hivyo mtakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…