Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

Kabisa na hata kufika kilele akikosa hisia na wewe atachelewa sn au hata asifike. Ila akiwa na hisia na wewe achelewi kabisaaaa

Ndio Sayansi ya mapenzi iko hivyo ik wengi hawalielewi hilo, wanafikiri mwanamke ni mtu anaweza kulainika kwa mwanaume yoyote tu kisa umemchezea[emoji3] Sio kweli , mwanamke hisia zake kwako Ndio zitakufanya na wewe uenjoy akiwa hana hisia na wewe hata iyo game utaiyona ya hovyo
 
Ndio Sayansi ya mapenzi iko hivyo ik wengi hawalielewi hilo, wanafikiri mwanamke ni mtu anaweza kulainika kwa mwanaume yoyote tu kisa umemchezea[emoji3] Sio kweli , mwanamke hisia zake kwako Ndio zitakufanya na wewe uenjoy akiwa hana hisia na wewe hata iyo game utaiyona ya hovyo
Kabisa mkuu. Huko sahihi sana
 
Lengo ni kukomoa mtu au kuharibu kabisa kisima, kesho utachota wapi hayo maji
Hicho kisima hakijawahi kuharibika. Gonga ngozi hadi ipate moto. Mkitoka hapo mnapata msosi murua na kinywaji chepesi kisha kulala na story za hapa na pale.

Wanaume acheni kudanganyana. Mwanamke anahitaji zaidi ya dakika kumi ili ajisikie amepata anachokihitaji.

Dakika saba ni za watoto tu. Watu wazima labda kama mko kando ya barabara au reli, nyuma ya choo au kichakakani, au unaiba tu upite.

Kama ni mkeo au mpenzi wako asiye na kesi yoyote, gonga ngozi yaani sugua mpaka aseme amechoka.
 
Tuwekane sawa

#Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu.

#Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa akamaintain huo muda wa tendo la ndoa kama mkiwa kwenye relationship au ukichepuka.

Kuna mambo mengi nyuma ya huo muda kuna kukamia na dawa za nguvu pia

UHALISIA

Tendo la ndoa

Dk 1-2 ni muda mchache

Dk 3-7 ni muda KAWAIDA

Dk 10-30 na kuendelea ni muda mrefu

Mwanamke usimuache mtu wako kisa muda mchache

#Ukimuonesha tu unaridhika na hujali mumeo au mpenzi wako taaratibu ataperfom vizuri

#Ukionesha kutoridhika na kumsema ujue unamuharibu na hatokuja kukaa sawa.
Loh! Humjui Fred wewe...!!
 
Kwan na nyie mashoga mnakataga viuno?..
Mmh sipat picha unakata uno na huo m boo unazurura tu hewan mafala sana nyie mbwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had nimetaka kutapika.

Sasa nkupe taarifa, hakna mafundi kitandani km mashoga, hata wanawake wenyewee wanasubirii, waulize mabasha wakuambie.

Basha huwa ha deal na uboo wa msenge, yeye anakua buzzy na kinyeo tyuuuh. Kwan anaona km kisimiii tyuuu, tena basha mzoefu anauchezea kwa kupigisha nyetoo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiih
 
Back
Top Bottom