denooJ na brazaj napenda Sana misimamo yenu Ni watu mlio neutral katika mambo ya msingi..
Hizi tabia za kuwa mfuasi kindakindaki ndio chanzo cha uozo vyamani...
Rasimu ya Warioba irudi mezani watu tumchague Mgombea huru...
Maana hivyi vyama vina udwanzi mwingi...Ukishindwa kuongoza watu ng'atuka upishe wengine..
Ajabu na kweli nyuzi za wazi kama hizi wenzetu kabisa kindaki ndaki huwezi kuwaona. Wanapita juu kwa juu kimya kimya. Hofu na mashaka kuwaudhi wakubwa. Kwa lipi?Ili watz akili zao zizibuke
Wapinzani SAsa wanalamba asali, Lisu kapewa pesa zake, Mbowe account zake zimefunguliwa, wahangaike na nini na watu wasiojitambua wakati 2025 goli lipo wazi.
Kumbe na wewe Ni mwoga sema muda wa mapinduzi ya watawala wa Tozo ndio huu.Mwendelezo huu wa manung'uniko ya watu dhidi ya yanayojiri, ni dalili ya mkwamo kamili kwenye jitihada zetu za kudai haki. Alikuwepo mzee wa Kiraracha(RIP) akisema sera zake ni siri. Mikakati yetu ya ukombozi nayo ni siri? Viongozi wa vyama vyetu kazi zao au majukumu yao katika kutuvusha ni nini?
Ni vipi tunawapa dhamana viongozi hawa na ili wafanye nini? Haya ni mambo ya kuangaziwa vilivyo sasa na bila ajizi. Muda wa kuzifanya chaguzi zetu kuanzia vyamani na hata kwa nchi kuwa wazi zaidi ni sasa. Washindanishwe watu wote wenye kujidhania wanafaa kama inavyokuwa kwa beberu Biden. Tunahitaji watu walio bora si bora watu.
Watuambie mikakati yao na watakavyotuvusha. Kutuletea hadithi za kuwa umekosa watanzania wa kukuunga mkono, itoshe kuwa hati rasmi na halali ya wewe na timu yako kujiuzuru. Ama kwa hakika tumewavumilia sana. Tusingependa tufikie kwenye kunyang'anyana uongozi kikuku. Vyama hivi si mali binafsi. Wenye uwezo wa kuviongoza wapo. Hayupo mwenye hati miliki.
Habari hii iwafikie wote kutokea Lumumba hadi kwa Hashim Rungwe kokote kule aliko. Kwamba mmeshindwa kuwaunganisha watu kudai haki zao, mmeshindwa kazi tokeni madarakani. Madarakani si kwa ajili ya kulamba asali peke yake.
Habari ndiyo hiyo.
Kumbe na wewe Ni mwoga sema muda wa mapinduzi ya watawala wa Tozo ndio huu.
Umenipa Moyo, Asante SanaNiogope wapi au nini mkuu? Tunaitisha busara kutamalaki tangu lini? Nisome vyema kuniona:
Upinzani, Aluta Continua! Ni lazima kupigania kupata haki, uhuru na maendeleo japo haitakuwa rahisi
Zingatia Rawlings anasema:
"Ni lazima ifikie pale ambapo hata kama shweitani atakuwa ndiye mtawala (rais), itakuwa ni lazima afanye kile ambacho Waghana (wananchi) wanataka na wala siyo kile ambacho yeye shweitani na genge lake wanataka."
Tuliokuwa JKNIA au Kiluvya ni kututukana matusi ya nguoni kusema tukiitwa mabarabani hatutokei.Umenipa Moyo, Asante Sana
Afadhali waliopo hawakuigioa kutekwa, kupoteza, kununuliwa na finally kuuawa. Sasa hao unaowapendekeza Wana guts za kuhimili hizo "torture" tatu? Afadhali shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjuaMwendelezo huu wa manung'uniko ya watu dhidi ya yanayojiri, ni dalili ya mkwamo kamili kwenye jitihada zetu za kudai haki. Alikuwepo mzee wa Kiraracha(RIP) akisema sera zake ni siri. Mikakati yetu ya ukombozi nayo ni siri? Viongozi wa vyama vyetu kazi zao au majukumu yao katika kutuvusha ni nini?
Ni vipi tunawapa dhamana viongozi hawa na ili wafanye nini? Haya ni mambo ya kuangaziwa vilivyo sasa na bila ajizi. Muda wa kuzifanya chaguzi zetu kuanzia vyamani na hata kwa nchi kuwa wazi zaidi ni sasa. Washindanishwe watu wote wenye kujidhania wanafaa kama inavyokuwa kwa beberu Biden. Tunahitaji watu walio bora si bora watu.
Watuambie mikakati yao na watakavyotuvusha. Kutuletea hadithi za kuwa umekosa watanzania wa kukuunga mkono, itoshe kuwa hati rasmi na halali ya wewe na timu yako kujiuzuru. Ama kwa hakika tumewavumilia sana. Tusingependa tufikie kwenye kunyang'anyana uongozi kikuku. Vyama hivi si mali binafsi. Wenye uwezo wa kuviongoza wapo. Hayupo mwenye hati miliki.
Habari hii iwafikie wote kutokea Lumumba hadi kwa Hashim Rungwe kokote kule aliko. Kwamba mmeshindwa kuwaunganisha watu kudai haki zao, mmeshindwa kazi tokeni madarakani. Madarakani si kwa ajili ya kulamba asali peke yake.
Habari ndiyo hiyo.
Retired mkuu huu msimamo wa wastani wewe haukuhusu ,,wewe Ni muumini wa jino kwa jino....Sina uhakika Kama nawe Ni mfuasi kindakindaki.....wewe unaamini mtawala mkandamizaji hawezi kuacha kwa maneno yenye sukari....Kumbe na wewe Ni mwoga sema muda wa mapinduzi ya watawala wa Tozo ndio huu.
Afadhali waliopo hawakuigioa kutekwa, kupoteza, kununuliwa na finally kuuawa. Sasa hao unaowapendekeza Wana guts za kuhimili hizo "torture" tatu? Afadhali shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua
Retired mkuu huu msimamo wa wastani wewe haukuhusu ,,wewe Ni muumini wa jino kwa jino....Sina uhakika Kama nawe Ni mfuasi kindakindaki.....wewe unaamini mtawala mkandamizaji hawezi kuacha kwa maneno yenye sukari....
Sisi tunasema kwa nia njema kabisa na wala hatuna nia OVU, katu hatuna.Mkuu Nurain ninadhani Retired tuko pamoja hapa:
Uanaharakati ndiyo njia pekee ya kuipata katiba ya wananchi
Ila sina hakika kama tunaonana macho kwa macho hapa:
Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?
Ninakazia koleo haliwezi kuitwa kijiko kikubwa.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Exactly.Jambo unalo zungumza mkuu ni mpango mzuri lakini kasoro iliyopo inayo tia ukakasi wa kutekelezeka kwa mpango wako kwa kuwa vyama vya kisiasa hapa nchi vimekwisha kuwa mali za baadhi ya familia na makunfi yao ya karibu kwa hiyo kuleta mageuzi/ mapinduzi katika mfumo wa namna hii ngumu kutekelezeka labda uundwaji wa vyama vipya vyenye sera dhabiti vitakavyo leta upinzani dhabiti wa hoja na vyama hivi vya sasa vilivyopo nchini . Vyama vipya sharti vinapaswa kuwa na watu ambao falsafa zina fanana na vilivyo wazi kwa wanachama wote.
Haipo namna. Hawana mkakati na eti wanataka mikakati wawe nayo watu mtaani huku wao wakilamba asali:
1. Mkakati wa ukombozi uko wapi?
2. Mkakati wa kuwashirikisha wote wenye nia ya kutuunga mkono uko wapi?
3. Vipi wahanga wetu kwenye ukombozi tunawafidia vipi?
Hata matatu haya kimya. Ila visingizio: watanzania wamejikita kwenye yasiyo na tija? Aaah wapi?
Kwa uongozi upi kwani?
Si watupishe waone?
Si kweli mkuu kwani wenye majibu hapa wako wapi?Watu wanajadili mambo ya simba na Yanga, huku kwenye maumivu wameamuachia Mungu.