- Thread starter
- #41
denooJ na brazaj napenda Sana misimamo yenu Ni watu mlio neutral katika mambo ya msingi..
Hizi tabia za kuwa mfuasi kindakindaki ndio chanzo cha uozo vyamani...
Rasimu ya Warioba irudi mezani watu tumchague Mgombea huru...
Maana hivyi vyama vina udwanzi mwingi...Ukishindwa kuongoza watu ng'atuka upishe wengine..
Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?
Na huu ndiyo ulio ukweli mchungu.