Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
 
Hongera ya nini? Tulimtuma akawaite waarabu?
 
Mungu ibariki Tanganyika
 
Sio kweli labda kama wazee wa ccm wameamua kwa umoja wao. Lakini kwa nguvu na pesa waliyonayo DP world sidhani kama nchini itataka kuwapoteza.

Tatizo kubwa ni mikataba iliyoingiwa ila uwekezaji ni muhimu bandarini. Na kumbuka wazee wa emarati washalainisha mikono grisi kwa pesa nyingi fedha itaweza kurudishwa kweli. Watu wamepewa mpaka immobile maison huko Palm Jumeirah.
 
Wewe endelea tu kuota
 
Tutalipa tu, hakuna namna! Heri tulipe kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…