Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Hilo likitimia nitasema neno,🚶
 
Ni ngumu kutokea..., haya maziwa yameshamwagika wapo radhi hata kuwauwa ngombe wote ili kuficha kilichotokea....

Hawa sio watu wa kurudi nyuma na kukubali walikosea
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Mkuu hongera kwa Samia? Kwa vipi wakati amefanya kosa na bado hajakiri na kuna watu wamewekwa ndani kwa kuhoji; tena wakisingiziwa uhaini? Anyways, hata mimi nimesikia alipotoroka kwenda Uarabuni alikwenda kuwaomba mambo yaishe.
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Hongera ya Nini?? Hata kama ataliacha ,tulishamjua tayari dhamira ilikuwa ni mbaya Sana kwa nchi yetu. Aibu hii itamuandama mpaka dakika za mwisho wa uhai wake
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
R nne zilimaanisha nn kwa mama wetu
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Shukuruni Bwana Kwa kuwa Ni Mwema, kwa maana fadhili zake ni za milele.
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
100,000,000 Dollars 💵 zilizotolewa kama hongo nani atazirejesha?
 
Ni ngumu kutokea..., haya maziwa yameshamwagika wapo radhi hata kuwauwa ngombe wote ili kuficha kilichotokea....

Hawa sio watu wa kurudi nyuma na kukubali walikosea
Huu mkataba hakuna namna yoyote ya kuendelea kuutekeleza! Hivi mlisoma vile vifungu vya ki-Mangungo? Huu mkataba utakufa kifo cha mende ila kuna uwezekano wa waarabu kuja kivingine. Kumbuka walisaini pia mikataba mingine midogo midogo. Ile itaendelezwa na hata bandari itachukuliwa kwa mkataba kama ilivyokuwa mkataba wa kampuni ta Karamagi.
 
Atoke tuu, kama mkataba mbovu wa IPTL wa miaka 30 iliyopita mpaka leo tunalipa left and right mabilioni ya pesa, jee huu wa bandari wenye thamani ya mabilioni na mipaka na maziwa ya nchi itakuwaje? hizo trillioni nane tunazopata sasa hivi kwenye bandari tutawalipa wao tusipoangalia, hizi arbitration tunazopigwa kila siku liwe somo na nasikia jana tuu Standard Charted wametupiga karibu billion 400 kwa ajiri ya Imitambo chakavu ya PTL ya miaka 30 iliyopita, IPTL iwe case study ya hii mikataba maana lile shetani ukianzia kwa yule singa singa, muhaya, rushwa za viongozi wa CCM na mabenki yaliyohusika yameshapiga zaidi ya trillion kwa mtambo mbovu ambao gharama yake haiwezi kuzidi milioni 20, haya makampuni yana thousands of lawyers wanaolipwa vizuri kuliko Raisi wa Tanzania na yanajua hizi game kuliko mtu yeyote, Tanzania has no chance kuwashinda hawa jamaa kwenye kesi yeyote tukiingia nao mkataba, watatusafisha kila kitu na kina Samia inawezekana wasiwepo tena wakati huo, US waliwapa 24 hours DP kufunga virago, inasikitisha sana
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Tukitaka kupata vichekesho vingine kama hivi tubonyeze no ngapi?
 
Back
Top Bottom