Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Waraka hujausoma
Nimeusoma, kanisa letu limechemka kuandika haswa muda huu. Kuna wawekezaji wawili wengine wa sekta ya bandari zaidi ya huyo DP World.

Ni suala la kiuchumi wao wanaliweka kiroho kwa kigezo cha sauti ya watu ni ya Mungu, wanamkwaza mheshimiwa SSH na kibaya zaidi wanasikiliza hizi akili za mitaani kwamba mwarabu anataka kurudisha tena utawala wa kiislam hapa Tanzania, ni akili za kijinga kuwaza namna hii.

Huyo mwarabu anamiliki bandari zaidi ya hamsini duniani, mbona huko kote asirudishe utawala wake?. Maaskofu wameendekeza uoga usio na faida yoyote,
 
Nimeusoma, kanisa letu limechemka kuandika haswa muda huu. Kuna wawekezaji wawili wengine wa sekta ya bandari zaidi ya huyo DP World.

Ni suala la kiuchumi wao wanaliweka kiroho kwa kigezo cha sauti ya watu ni ya Mungu, wanamkwaza mheshimiwa SSH na kibaya zaidi wanasikiliza hizi akili za mitaani kwamba mwarabu anataka kurudisha tena utawala wa kiislam hapa Tanzania, ni akili za kijinga kuwaza namna hii.

Huyo mwarabu anamiliki bandari zaidi ya hamsini duniani, mbona huko kote asirudishe utawala wake?. Maaskofu wameendekeza uoga usio na faida yoyote,
 

Attachments

  • Screenshot_20230822-054315_Chrome.jpg
    Screenshot_20230822-054315_Chrome.jpg
    203 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230822-054303_Chrome.jpg
    Screenshot_20230822-054303_Chrome.jpg
    189.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230822-054253_Chrome.jpg
    Screenshot_20230822-054253_Chrome.jpg
    203.7 KB · Views: 1
Shida ya mkataba huu hauna WIN WIN situation. Uangaliwe upya. Haya ni mambo ya kawaida kurudi nyuma kama kwenye front line ya vita ukipigwa.
 
Shida ya mkataba huu hauna WIN WIN situation. Uangaliwe upya. Haya ni mambo ya kawaida kurudi nyuma kama kwenye front line ya vita ukipigwa.
Mkataba wa Kinyonyaji sanaa huo ndio ukweliii...!
 
Nimeusoma, kanisa letu limechemka kuandika haswa muda huu. Kuna wawekezaji wawili wengine wa sekta ya bandari zaidi ya huyo DP World.

Ni suala la kiuchumi wao wanaliweka kiroho kwa kigezo cha sauti ya watu ni ya Mungu, wanamkwaza mheshimiwa SSH na kibaya zaidi wanasikiliza hizi akili za mitaani kwamba mwarabu anataka kurudisha tena utawala wa kiislam hapa Tanzania, ni akili za kijinga kuwaza namna hii.

Huyo mwarabu anamiliki bandari zaidi ya hamsini duniani, mbona huko kote asirudishe utawala wake?. Maaskofu wameendekeza uoga usio na faida yoyote,
Wewe akili yako haina afya. Hayo unayosema yapo kwenye hoja za Maaskofu? Chambua hoja zao sio porojo. Huu mkataba tumeshaukataa, akili nyingine ndogo kama zenu zitaelewa mbele ya safari.
 
Wewe akili yako haina afya. Hayo unayosema yapo kwenye hoja za Maaskofu? Chambua hoja zao sio porojo. Huu mkataba tumeshaukataa, akili nyingine ndogo kama zenu zitaelewa mbele ya safari.
Mwezi wa kumi mwishoni ndio tutajua nani mwenye afya njema ya akili.

Kumbuka kuna magati ya bandari pale yanataka mwekezaji pia, kuna bandari ya Bagamoyo na yenyewe inakwenda kupata mwekezaji mwingine.

Nguvu hii hii inayotumika kuupinga mkataba huu itatumika pia kuipinga hiyo mikataba mingine?.

Masuala ya kitaalam yanapoingiziwa siasa nyingi tutaumia sisi kama taifa kwa miaka mingi ijayo.
 
Back
Top Bottom