Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Achague mawili kuufuta au marekebisho kupitia wananchi na Sio wabunge.
Waislamu someni mkataba muuelewe acheni porojo za kuegemea dini.
Kama ni dini mbona waislamu ndio wanajenga reli na ndio wanaojenga bwawa la umeme.
Udini upo wapi.
Kinaangaliwa kesho yetu na usalama nchi na raslimali zetu.
 
Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!

Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!

Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Wanaomdanganya wanamshauri aendelee nao.
 
Achague mawili kuufuta au marekebisho kupitia wananchi na Sio wabunge.
Waislamu someni mkataba muuelewe acheni porojo za kuegemea dini.
Kama ni dini mbona waislamu ndio wanajenga reli na ndio wanaojenga bwawa la umeme.
Udini upo wapi.
Kinaangaliwa kesho yetu na usalama nchi na raslimali zetu.
Ahsante kwa kuwakumbusha ila hapa tatizo sio waislam bali ni watu wachache waliongwa tende na harua ndio wanataka kuvuruga nchi kwa kisingizio cha dini kama ni dpw ndiye amepenyeza hiyo kitu basi amebugi.
 
Na uvccm na cccm itatoka barabarni kumpongeza rais kwa ujasiri huo wa kufuta mkataba huo na azimio litafanywa bungeni kumpongeza kwa hatua hyo

Kama itatokea Hilo Basi ndo hvyo
Wajinga kweli jamaa, hahaha
 
2-jpg.2720014

Ni yupi kati ya hao mezani.

Mmeishiwa na hoja na sasa mmerudi Kusingizia Kabila la Wasukuma.!

Hakuna genge wala Gang yeyote linaloitwa Sukuma Gang Tanzania. Kuna kabila la WASUKUMA.
CHADEMA Wacheni Ugaidi na lugha za Kiutenganishi. Wacheni GENOCIDE!

Chuki za kibinafsi baina ya Mbowe na Lissu dhidi ya Hayat Rais ibakie huko huko. Chuki hizo zisiingizwe kwenye wanja la siasa Tanzania.


CHADEMA stop your Seccesionist agenda. stop your Terorrism tacts. Stop the GENOCIDAL agenda against the WASUKUMA tribe and peoples.



CHUKI dhidi ya Kabila la Wasukuma zikomeshwe.
Tulishajua nia yako nini, ongelea mkataba mambo ya chadema wasukuma tupa kule.
 
Kwnn wasiwekeze Mombasa Kisha Dar wakabiziwe TEC ili tuone ufanisi bad miaka kadhaa?
 
Vyanzo vyako feki vyote. Muda huu wanasheria wapo ughaibuni wakiandaa mikataba ya consession na lease na wakirudi wanamaliza biashara ya DP World.

Lengo la uwekezaji ni kurahisisha maisha ya wafanya biashara, kama wewe Lusungo nimfanyabiashara wa bandari huwezi kuwa na mawazo ya aina hii.
Uongo mtupu, hakuna kurahisisha wala nini bali ni watu wanatafuta uraji.
 
Rais wetu akiachana mkataba bandari huo 2025 binafsi mimi sihitaji mgombea urais Dr.Samia nimevutiwa sanq utawala wake wa haki hasa maridhiano. Aachee tu na mkataba mimi nataka apate kura zaidi 90%
 
Ametangaza Kuachana na DP WORLD kama ulivyoandika???
 
Ahsante kwa kuwakumbusha ila hapa tatizo sio waislam bali ni watu wachache waliongwa tende na harua ndio wanataka kuvuruga nchi kwa kisingizio cha dini kama ni dpw ndiye amepenyeza hiyo kitu basi amebugi.
Kuna magati sita ya TPA yanahitaji uwekezaji pia kuna bandari nzima ya Bagamoyo inakuja mwaka huu, hivyo kama DPW mmoja anawekewa mizengwe namna hii vipi kuhusu wawekezaji wa magati namba tisa mpaka kumi na mbili wa pale bandarini. Vipi kuhusu uwekezaji mzima wa Bagamoyo utakuwa vipi?.

Siasa zetu za kambale kila mmoja majini ana ndevu zinatujaza ujinga mwingi tu bila ya kutusaidia kwa namna yoyote ile. Haya ya bandari ni maswala ya kitaalam sana lakini kwa sababu watanzania siku zote hatuheshimu utaalam kwa sababu ya elimu zetu za kuungaunga hatuwezi kuona namna tunavyopoteza muda kwenye mijadala yetu isiyo na tija.
 
Back
Top Bottom