Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kweli. Mjadala huu lazima sasa ufike mwisho na ufungwe. Ni raisi pekee ndiye mwenye uwezo wa kuufunga. Ndiye refree atakayeamua mshindi ni nani. Baada ya hapo wote tunapaswa kutulia na kukubali matokeo. Hakuna sare kwani kama ni muda ulishaongezwa na penalty zimeshapigwa hivi karibuni.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
😃😃😃Usilolijua!!!EL yupi ambaye yuko poa! 😆😆
Kwani aliwafanyeje hao sukuma Gang hadi wamuingize matatizoni? Tudokezee kidogo mkuu!Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilivyosoma Comment Yako nikasoma na Jina lako, nikakaa kimya
Mmarekani anahusikaje??Daaaah! Mama anafanya kosa kubwa kuvunja huu mkataba et kwa sababu ya vibaraka wa amerika wanaopiga kelele. Mmarekani bhana mtu mbaya kabisa
Hoja 8 Muhimu za TECBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Wewe ni mgeni tz? Unaujua mfumo wa ccm wewe? Pata picha huu mkataba ulivyopitishwa bungeni ile ndio ccm halisi, hawategemei kura zako kuwa madarakaniTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Yaani atoke hadharani kwa matamko ya wajinga?Asababishe matatizo yeye, hongera ya nn? Anapaswa kujitokeza hadharani na kuwataka radhi Watz
Kweli mmeniacha, labda unitonye.😃😃😃Usilolijua!!!
marekan ndo yupo nyuma ya hao mwambukusu na wengine. Hataki mwarabu awekeze maeneo kama hayoMmarekani anahusikaje??
Umemsahau kiungo mshambuliaji Prof Lissu.Inaweza kuwa kweli. Mjadala huu lazima sasa ufike mwisho na ufungwe. Ni raisi pekee ndiye mwenye uwezo wa kuufunga. Ndiye refree atakayeamua mshindi ni nani. Baada ya hapo wote tunapaswa kutulia na kukubali matokeo. Hakuna sare kwani kama ni muda ulishaongezwa na penalty zimeshapigwa hivi karibuni.
Timu A washambuliaji nyota walikuwa Mwabukusi na Dr Slaa, mabeki hodari walikuwa Prof Shivji, TEC na Joseph Butiku. Timu B washambuliaji nyota walikuwa Tulia Ackson na Nape Nauye, mabeki hodari walikuwa Prof Mkumbo, Hamza Johari na Dr Msukuma. Mechi ilikuwa tamu na uwanja ulifurika hadi nje.
Uko sahihi. Prof Lisu wa timu A alikuwa noma sana kwa timu B.Umemsahau kiungo mshambuliaji Prof Lissu.
Timu B mwishowe wakaingia mitini 😀😀😀Inaweza kuwa kweli. Mjadala huu lazima sasa ufike mwisho na ufungwe. Ni raisi pekee ndiye mwenye uwezo wa kuufunga. Ndiye refree atakayeamua mshindi ni nani. Baada ya hapo wote tunapaswa kutulia na kukubali matokeo. Hakuna sare kwani kama ni muda ulishaongezwa na penalty zimeshapigwa hivi karibuni.
Timu A washambuliaji nyota walikuwa Mwabukusi na Dr Slaa, mabeki hodari walikuwa Prof Shivji, TEC na Joseph Butiku. Timu B washambuliaji nyota walikuwa Tulia Ackson na Nape Nauye, mabeki hodari walikuwa Prof Mkumbo, Hamza Johari na Dr Msukuma. Mechi ilikuwa tamu na uwanja ulifurika hadi nje.
It's soon gonna be history.Dp world is here to stay waweke tu mambo sawa