Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisi tunapowakataa wenzetu wanawakimbiliaBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Mpaka hatua hii hatufai kuwa msimamizi wa rasimali zetu! Ili jambo ni lake na ndiyo maana wakina Lissu wakisema anapaswa kuwajibika maana mle ndani kuna sahihi yake! Asingeweka sahihi yake mle ndani angemtoa mtu kafara mambo yaende! Lakini kitendo cha yeye kuweka sahihi ni sawa tuseme yeye mwenyewe hajui vitu gan anasaini na hana umakini wowote katika kazi zake.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
We lusungo ikiwa na vyanzo ktk chama tawala mimi ntakuwa na balozi binafsi ikulu.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
hatutaki gari lenye rushwa ndani yakeHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Tatizo mkataba una masharti magumu sana na ujanja ujanja mwingi.Sukuma gang kwa umoja wao
Waacheni wajipigie kwenye shamba la bibiTatizo mkataba una masharti magumu sana na ujanja ujanja mwingi.
Chawa wataandamana kumpongezaVyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Sahihi kabisa utawasikia wanatoa azimio la kumpongezaChawa wataandamana kumpongeza
🤣Sahihi kabisa utawasikia wanatoa azimio la kumpongeza
Kuna clip nimeona Kikwete anasema "..wajiulize je walikosea au hawakukosea, kama walikosea kuna ubaya gani kusahihisha makosa?"Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Yupo sahihi maana hapo hakuna msahafu kusema hakuna kinachoweza kurekebishwa.Kuna clip nimeona Kikwete anasema "..wajiulize je walikosea au hawakukosea, kama walikosea kuna ubaya gani kusahihisha makosa?"
Nani kawakimbilia kubwa zima hovyooosisi tunapowakataa wenzetu wanawakimbilia
Siyo kupitia mikataba ya hovyo na kijingaHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Hakuwaita bali walishinda zabuni, si kulikuwa na wengine walioomba?Hongera ya nini? Tulimtuma akawaite waarabu?