bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Uamuzi upi? Hizo ni ndoto za Ali NachaKikubwa DPWorld watalipwa ama la kwa uamuzi huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamuzi upi? Hizo ni ndoto za Ali NachaKikubwa DPWorld watalipwa ama la kwa uamuzi huu?
FaizaFoxy Ritz kahtaan THE BIG SHOW wanazo hizi taarifa ?Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Endeleeni kuotaKama ni kweli nampongeza na kumshukuru sana Mama.
Lakini jambo hilo limetujeruhi sana CCM kiasi ambacho imani ya wananchi imepungua sana.Nashauri CCM tujihadhali siku za mbeleni katika kufanya maamuzi.
Hakuna ubaya endeleeni kuotaKwani kuota kuna ubaya gani?
Nami nitakuwa wa kwanza kumpongeza!Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Nyie ndio mmehongwa majumba Dubai, itbainika tu!Wewe endelea tu kuota
Yakweli Hayo!?Mkuu hongera kwa Samia? Kwa vipi wakati amefanya kosa na bado hajakiri na kuna watu wamewekwa ndani kwa kuhoji; tena wakisingiziwa uhaini? Anyways, hata mimi nimesikia alipotoroka kwenda Uarabuni alikwenda kuwaomba mambo yaishe.
Kumbe Mbarawa ana tabia mbaya hivyo!Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Kwani wewe umepewa $ ngapi kwenye hii deal!?Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri
Wacha maneno mengi wewe....Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Mkuu, sijakuona siku nyingi sana.Kwani wewe umepewa $ ngapi kwenye hii deal!?
Niko bize nalinda bandari zetu!Mkuu, sijakuona siku nyingi sana.
Wacha kupotea namna hiyo
Kwanini wewe usiende uarabuni kama ni dili.Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Kumbe anafaa!?Kuna watu wanahahakisha Mama anakwama Kwa namna yoyote Ile.Uwa naumia sana watu wanavyotaka kumuharibia hili haonekane hafai.
Mkataba ukiwa mzuri ni Pouwa SanaHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Kwahiyo unataka kusema ndoto za Samia kuifanya bandari ya Dar kuwa kama bandari ya Dubai zimekufa?Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Huo ni uhaini...🤣Niko bize nalinda bandari zetu!
Naanza kuhisi watu wa itikadi fulani walitehgemea hao DP wakija wao watanufaika moja kwa moja!ndio mlivyojidanganya hapo kijiweni nyie mazuzu. Eti tetesi, we kweli ni mwehu km hao wehu wenzio. Na akiachana na mpango huo nyie mazuzu mtapata faida gani. kenge kweli