Mufindi: Afungwa Jela miaka 20 kwa kukutwa na kilo 32 za nyama ya Tandala

Kwani mangapi mbali na hilo la nyama, yanaonesha u double standards wa sheria zetu? Vyakula hivi vyote vya mitaani vinapimwa? Samaki wa baharini je? Wote wanapimwa?
 
Sheria gani zinawahusu masikini peke yao!! Vigogo wa CCM ndiyo wanaongoza kwa ujangili nchini, lakini huwezi kusikia wamehukumiwa vifungo jela, hata pale wanapokamatwa na vielelezo!
Hao wanakuwa na kibali.Ukisikia kibali ni nyama ipimwe na daktari wa wanyama,kama iko salama kwa mlaji.Wewe wafikiri,kunasomeshwa madaktari wa wanyama kwa kazi gani?Mojawapo katika kazi zao,ni kupima mnyama,kama hana maradhi ya kuambukiza kwa binadamu,kabla ya kufanywa kitoeo.Huyo aliyeuza nyama bila kibali,anataka kuambukiza watu maradhi,kutoka kwa wanyama.
 
Kumbe wewe hujui,unafikiri wavuvi wanavua bila leseni.Wapo pia samaki wana sumu baharini,lakini wenyeji wanawajua,huwa wanatayarisha kwa uangalifu,wakikosea tu,wanakula sumu.
Wewe utakuwa unaishi maeneo yasiokuwa na wanyama pori,hata ng'ombe,ukitaka kuuza mpaka apimwe.
 
Kwani mangapi mbali na hilo la nyama, yanaonesha u double standards wa sheria zetu? Vyakula hivi vyote vya mitaani vinapimwa? Samaki wa baharini je? Wote wanapimwa?
Tumia akili.Nyama zikiuzwa holela,na kusmbukiza maradhi binadamu,wewe na wenzako,ndio mtakuwa wa kwanza kulaumu serekali.Nyama lazima ipimwe,mnyama kafa ana maradhi ya kuambukiza,au siyo.
 
Tumia akili.Nyama zikiuzwa holela,na kusmbukiza maradhi binadamu,wewe na wenzako,ndio mtakuwa wa kwanza kulaumu serekali.Nyama lazima ipimwe,mnyama kafa ana maradhi ya kuambukiza,au siyo.
Sawa, suala si ni maradhi? Kwani samaki wanaovuliwa kila siku hawawezi kuwa contaminated na bacteria wa magonjwa mlipuko kwa binadamu? Mara ngapi watu wanakufa kwa kula samaki wenye sumu? Why ni kwa wanyama pekee?

Lini umesikia watu wakifa kwa kuambukizwa ugonjwa kwa kula nyamapori? Unaona namna usivyoishughulisha akili yako?
 
Jaji ni mpuuzi,sheria zilizopotwa na wakati zifutwe hata kama anashitakiwa kwa.kukutwa na nyara za serikali
 
Kwani pweza ana sumu gani? Wote tunajua hana sumu ya kuua, so why watu walikufa kwa kula pweza? Unaweza kujibu hili?
 
Sasa kwani samaki wanaovuliwa pale Feri hawawezi kuwa na maradhi yanayoweza hata kuua binadamu? Why na huko wauzaji wasipime samaki wanaowauza kisheria?
 
Mbona bandari hawagungwi?
 
Ndio maana N
 
Mdogo wake rostam mnakumbuka ile kesi yake ya nyara za taifa mwaka 2019?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…