Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;
1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)
2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.
Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?
Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)
2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.
Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?
Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.