Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaahaaaaaMzee amerealize kuwangiza chaka wenzie😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaaaaMzee amerealize kuwangiza chaka wenzie😂
Na yale mawingu mazito vile ya mvua sijui nani aliuonaHivi jana ulioonekana
Mbona miye siyo muislamu na maisha ninayoPasipo uislamu hakuna Maisha.
Wamegawanyika, kuna wale wa katambuga waliangukia penyewe walikula Idd janaWafuasi wa mudi ktk upumbavu wao.
Eti katambugaWamegawanyika, kuna wale wa katambuga waliangukia penyewe walikula Idd jana
Waliwahi kusema vifaa vya makafir kwakuwa vimetengenezwa nchi za magharibiImani vs Sayansi.
Usajili: Imani kumsajili mchezaji wa sayansi aitwaye darubini.
AaaaahaajaaWaliwahi kusema vifaa vya makafir kwakuwa vimetengenezwa nchi za magharibi
Ingekuwa Jana tungekula Bata siku nne
Tunakoelekea, kubaya sana na haya ya serikali kutakiwa kununua kifaa cha kutazamia mwezi na mara mishahara iwahi kisa kuna Eid..!!Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Yaani kweli BAKWATA wanashindwa kununua hii telescope hadi waombe msaada wa serikali? Mbona wanamapato makubwa sana na waumini wenye kujiweza.FaizaFoxy na Ritz tufanye hamasa tuchangishe pesa ya kununua hii darubini kali.
View attachment 2596110
NapendaEnheee, Unapenda kula bata?!!?, vipi kitimoto siku hizi hupendi kula??
AaahahahaTunakoelekea, kubaya sana na haya ya serikali kutakiwa kununua kifaa cha kutazamia mwezi na mara mishahara iwahi kisa kuna Eid..!! Huo mwezi utakaokuwa unatazamwa ni upe wa SUNI au wale wengine?
Ombeni ule utaratibu wa kufidia sikukuu zinazoangukia weekend urudi kama enzi ya Mzee Rukhsa.Pumbavu zao Bakwata,wametukosesha Bata la siku nne mfululizo Kwa ukilaza wao
Kumbae yawezekanq hata mwezi uliandama ***** ila Kwa sababu ya umasikini wao na ukosefu wa teknolojia ndo maana wanakosa ujasiri wa kutangaza Iddi Kwa usahihi
Bladifulu Bakwata
AahaaaaOmbeni ule utaratibu wa kufidia sikukuu zinazoangukia weekend urudi kama enzi ya Mzee Rukhsa.
Mbona hiyo ipo tayari, Zanzibar walipewa zawadi.Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Hiyo ipo tayari. Tena ya kisasa na siyo hiyo "amateur star gazer", "uliyoionesha. Iliyopo ni " latest highly professional moon sighter".FaizaFoxy na Ritz tufanye hamasa tuchangishe pesa ya kununua hii darubini kali.
View attachment 2596110
Ah, Kazi ipo.Waliwahi kusema vifaa vya makafir kwakuwa vimetengenezwa nchi za magharibi