Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda
Ila vilikosa soko tangu mfungo uanze
Na bara nayo tupewe zawadi. Tena watenge kabisa na fungu la Eid la nyongeza ya mshahara japo 10%Mbona hiyo ipo tayari, Zanzibar walipewa zawadi.
Utata haupo kwenye kuuona mwezi pekee, Utata pia upo ni wapi umeonekana.
Hii ihtilafu ni heri iachwe kama ilivyo, inaongeza ilm.
mbona sisi sio waislam na tuna maisha mzee, akili yako imehama?Pasipo uislamu hakuna Maisha.
Tulia kwanza! Lazima tutumie advantage ya Rais wa Imani yetu! Kutesa kwa zamu! Kanisa Katoliki nalo lilikula sana bata kipindi cha nyuma!!Yaani kweli BAKWATA wanashindwa kununua hii telescope hadi waombe msaada wa serikali? Mbona wanamapato makubwa sana na waumini wenye kujiweza.
Hapa kuna watu unawachokoza kisha unajifichia kwa Wakristo. Haya Bwana. Nyumba yako ya Kioo halafu unaleta ugomvi wa mawe!Hicho ndicho ninachowapendea Wakristo ikifika mwezi mtukufu wa Ramadhani mnaupa heshima kubwa kwani hata maasi mnapunguza sana, mfano mnapunguza kula kitimoto, safi sana na muendelee hivyo hivyo hata baada ya Ramadhani,🤣🤣
Hicho ndicho ninachowapendea Wakristo ikifika mwezi mtukufu wa Ramadhani mnaupa heshima kubwa kwani hata maasi mnapunguza sana, mfano mnapunguza kula kitimoto, safi sana na muendelee hivyo hivyo hata baada ya Ramadhani,🤣🤣
Uislamu haijakataa sayansi labda kwa kukusadia Quran inahimiza watu kuichunguza Dunia na mbingu ili tuonea muijiza na neema za mwenyezi mungu na technology ya telescope ilikuwepo kwenye ulimwengu wa kiislamu kabla Ya Galileo.Imani vs Sayansi.
Usajili: Imani kumsajili mchezaji wa sayansi aitwaye darubini.
Maisha ya Usafi wa kiroho na matendoMbona miye siyo muislamu na maisha ninayo
huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa
Na kwann , Suala la Dini, mpaka mtumie Sayansi?.Mbona hiyo ipo tayari, Zanzibar walipewa zawadi.
Utata haupo kwenye kuuona mwezi pekee, Utata pia upo ni wapi umeonekana.
Hii ihtilafu ni heri iachwe kama ilivyo, inaongeza ilm.
Bakwata wamechanganyikiwa nini [emoji23][emoji23]Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
inaongeza ilm
Ndiyo ninayoMaisha ya Usafi wa kiroho na matendo