prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Si wamuombe afande Sele mzee wa darubini [emoji437] kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alhamdulillah nashukuru umeliweka sawa kuzuia upotoshaji uliofanywa kwa makusudi kabisa na mwananchi (mcl), na kwa bahati mbaya kabisa baadhi ya watu wameshikia bango upotoshaji mkubwa uliofanyika bila kujaribu kutafuta ukweli juu ya hilo. Mshana Jr heshima yako ni kubwa hapa jukwaani tafadhali usiwe unaingia mkenge bila kujiridhisha kaka mkubwa.NAKUU
HAPA MSIKITINI WAMEKUJA WATU WENGI LEO, MATAJIRI NA WATU WENGINE(VIONGOZI WA SERIKALI) NASHAURI TUCHANGISHANE TUNANUNUA DARUBINI KAMA WEZETU WA KENYA, ETHIOPIA NK
JIULIZE WAPI KASEMA SERIKALI INUNUE DARUBINI
HALAFU KUNA WATU WANACHANGIA MADA VITU WASIVOVIJUA
TANZANIA NI NCHI YA WAJINGA WENGI KULIKO WANAOJIELEWA
JAMII FORUM ISHAKUA KAMA FACEBOOK HAKUNA WATU WA KUREASON SIKU HIZI
WAPO WAPARAMIA MADA KAMA WOTE VILE
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK
UJINGA MZIGO KWA TAIFA
KATAA UJINGA
UJINGA NI UTUMWA
UJINGA NI UMASKINI
UJINGA NI LAANA
UJINGA NI AIBU
Kwa kodi za watanzania wote na wasio waislamu ni upuuzi, kwanini wasinunue kwa sadaka zaoNadhani Mufti Aboubakar hakuwa ameliona mapema jambo hili la Mashine ya kuangalia Muandamo wa Mwezi
Vinginevyo Wakati Rais wa awamu ya 5 hayati Magufuli alipoingia Msikiti mkuu wa Bakwata pale Kinondoni kukagua Ujenzi wake angemueleza palepale na ingenunuliwa haraka iwezekanavyo
Hata hivyo ni jambo jema amekumbuka leo
Eid mubarak
Acha ushabiki maandalizi, au umekula kiporo cha kachumbari? Shusha takwimu sio unabwabwaja.Waislamu nchini ni matajiri na wanapesa kuliko Wakristo, kwann wasinunue wao
Waislamu ndo madoni wa TZ wanashindwaje Kununua kitu kidogo kama hicho.WanaJf,
Salaam!
Imani zetu ni thabiti kwamba hatuingilii imani za wenzetu kwa namna yoyote. Lkn pale inapotokea jambo fulani linalopaswa kujadiliwa hatukai kimya - sisi ni walimu tunaofundisha na kusaidia uimara wa taasisi zote ili zifahamu raslimali zake na jinsi ya kuzitumia.
Sheikh Mkuu Mufti Abubakar Zuber leo ktk swala ya Eid El Fitr amenukuliwa akiomba Serikali darubini ya kusaidia kutizama miandamo ya mwezi. Sasa nimejiuliza mengi kwa maombi haya:-
(a). Hivi sheikh Mkuu Mufti Abubakar Zuber amejaribu ku-out source fedha toka kwa jamii anayoingoza i.e Mo Dewji, GSM, Msakila, nk akashindwa kupata fedha hizo za darubini?
(b). Hivi sheikh Mkuu Mufti Abubakar Zuber amejaribu ku-out source fedha toka kwa Baraza la kiislamu lilitojenga misikiti nchi nzima wakashindwa kumpatia darubini - mpk aombe serikalini?
(c). Sheikh Mkuu anafahamu ukubwa wa mamlaka yake na kuwa hivyo vitu vidogo vidogo vinaweza malizwa na muuza mitumba Temeke au Buguruni!
Sheikh, mengi tunakupenda lkn mengi tuyamalize huku - hii misaada itokanayo na faini za magari, watu walokamatwa porini, lodge za kulala wageni, baa za pombe, mauzo ya wanyama tusiowatumia nk hazitubariki sana.
Nawasilisha
Kule Geita Serikal iliahidi kuchangia gharama za kununua kile kifaa cha tsh 20 milioni kilichovunjwavunjwa na yule mvamizi ndani ya Kanisa Katoliki la mitume!Kwa kodi za watanzania wote na wasio waislamu ni upuuzi, kwanini wasinunue kwa sadaka zao
USSR
Kwani hilo dude alilo omba mufti lilikuwepo na likaharibu wa na mtanzania mwenzetuKule Geita Serikal iliahidi kuchangia gharama za kununua kile kifaa cha tsh 20 milioni kilichovunjwavunjwa na yule mvamizi ndani ya Kanisa Katoliki la mitume!
Kwani hilo dude alilo omba mufti lilikuwepo na likaharibu wa na mtanzania mwenzetu
USSR
Sasa unadhani kwanini Shujaa Magufuli alienda kukagua?Kwani hilo dude alilo omba mufti lilikuwepo na likaharibu wa na mtanzania mwenzetu
USSR
Kwa hiyo na huyu amepotosha?alhamdulillah nashukuru umeliweka sawa kuzuia upotoshaji uliofanywa kwa makusudi kabisa na mwananchi (mcl), na kwa bahati mbaya kabisa baadhi ya watu wameshikia bango upotoshaji mkubwa uliofanyika bila kujaribu kutafuta ukweli juu ya hilo. Mshana Junior heshima yako ni kubwa hapa jukwaani tafadhali usiwe unaingia mkenge bila kujiridhisha kaka mkubwa.
.Wafanyabiashara wengi mjini ni nani.Acha ushabiki maandalizi, au umekula kiporo cha kachumbari? Shusha takwimu sio unabwabwaja.