TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Hata mi nlitaka kuuliza Ivo😊Hivi jana ulioonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mi nlitaka kuuliza Ivo😊Hivi jana ulioonekana
Aliekwambia kutoa ni utakiri nani,nyie endeleeni kujiita matajiri kumbe wabangaizaji mkanunue hiko kimashine serikali haina dini.Wafanyabiashara wengi mjini ni nani.
.Malori mengi nani wanamiliki
.Mabus mengi nani wanamiliki
. Daladala nyingi nani wanamiliki
.Wanaoenda nje kibiashara wengi ni nani
. Viwanda vingi nani wanamiliki.
.Teksi nyingi nani wanamiliki
.Masokoni wauzaji wengi nani
Nakupa homework
.wavuvi wengi ni nani
.Mama lishe wengi nani
. wamiliki wa hoteli wengi nani
Nakupa homework
Tembelea mamlaka za usajili wa biashara uone majina.
Pishana na magari angalia mlango wa dereva majina gani mengi.
Wakati Wakristo wanapoteza mda na miaka mashuleni Ili waje waje kutembeza bahasha,waislamu wapo field kitambo wanafunga mahesabu jioni.
Waislamu wanahela Sana shida yao kubwa si watoaji Sana na hawana umoja kwenye suala la utoaji au kusaidia dini yao.
Wakristo wanabebwa Sana na moyo wa utoaji Sana kwenye masuala ya dini zao.
Bisha KWA hoja na sio KWA muhemko
Soma uelewe,karibu tule pilauAliekwambia kutoa ni utakiri nani,nyie endeleeni kujiita matajiri kumbe wabangaizaji mkanunue hiko kimashine serikali haina dini
Maarufu kwa nyie waislamu lakini wakristo na serikali ya JMT hatutambui umaarufu wakeUisilamu ni dini maarufu sana kila mtu hapa jf lazima autangaze kwa njia 1 au nyingine
Nshashiba ugali dagaa hapa nashushia na maji baridiiiiiiSoma uelewe,karibu tule pilau
Wewe ni mfuasi wa nani?Wafuasi wa mudi ktk upumbavu wao.
Nimeacha kusoma uliposema leo Jumanne....Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Huyu mufti naye ni kilaza tu kama walivyo masada wengi wa chama cha mambuziSwali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Wewe ni mfuasi wa nani?
Bas ndo maanaMwamposa.
🤣🤣🤣🤣Si wajichangishe huko misikitiniSwali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Kuomba ni tabia ya kimazoea inayosababishwa na vitu vingi - athari za kisaikolojia, na makuzi na malezi ya mwombajiWaislamu ndo madoni wa TZ wanashindwaje Kununua kitu kidogo kama hicho.
MO,GSM, BAKRESA, MSOGA,.MWIGULU etc etc
Kule Geita Serikal iliahidi kuchangia gharama za kununua kile kifaa cha tsh 20 milioni kilichovunjwavunjwa na yule mvamizi ndani ya Kanisa Katoliki la mitume!