Tunakoelekea, kubaya sana na haya ya serikali kutakiwa kununua kifaa cha kutazamia mwezi na mara mishahara iwahi kisa kuna Eid..!!
By the way, huo mwezi utakaokuwa unatazamwa ni upi, wa SUNI au wale wengine?
 
Tunakoelekea, kubaya sana na haya ya serikali kutakiwa kununua kifaa cha kutazamia mwezi na mara mishahara iwahi kisa kuna Eid..!! Huo mwezi utakaokuwa unatazamwa ni upe wa SUNI au wale wengine?
Aaahahaha

Utakuwa ni mwezi wa Bakwata
 
Ombeni ule utaratibu wa kufidia sikukuu zinazoangukia weekend urudi kama enzi ya Mzee Rukhsa.
 
Mbona hiyo ipo tayari, Zanzibar walipewa zawadi.

Utata haupo kwenye kuuona mwezi pekee, Utata pia upo ni wapi umeonekana.

Hii ihtilafu ni heri iachwe kama ilivyo, inaongeza ilm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…