Hivi mwanamke wa kiislam akifa anapgania dini ndo anageuka bikira kwa ajili ya kuliwa na shaidi wa kiume? Msaada tafahali kwenye tutaAllah hajawahi kushindwa jambo,bali Allah anatutahini na kutupa mitihani.
Ila kisasi kitalipwa.
Wadau hamjamboni nyote?
IDF yaendelea kutembeza kichapo kwa Viongozi wa magaidi Mashariki ya kati
Muda mfupi uliopita gaidi mmoja anayehusuka na kitengo cha silaha na fedha za kikundi hatari cha Islamic jihad ameuawa kwa kombora la ndege.
IDF inasema kwamba al-Jabari alikabidhiwa idara/ kitengo cha uzalishaji wa silaha katika Ukanda wa kaskazini wa Gaza, usambazaji wa mishahara na pesa kwa magaidi wa kikundi hicho , na alishiriki kikamilifu katika jaribio la kurejesha uwezo na miundombinu ya kikundi hicho kutengeneza roketi.
Hakuna gaidi aliyehusika kuongoza su kupanga shambulizi la Oktoba 7 nchini atakayesalimika na mkono.imara wa Wana wa Yakobo
Taarifa kamili hapo chini
A senior Palestinian Islamic Jihad commander was killed in an Israeli airstrike in the Gaza Strip, the military says, as troops continue operations in Rafah and the Netzarim Corridor.
Muhammad al-Jabari was the deputy head of an Islamic Jihad weapons manufacturing unit, and responsible for the unit’s finances, according to the IDF.
The IDF says that al-Jabari “was entrusted with the organization’s production of weapons in the northern Gaza Strip, distribution of salaries and money to the organization’s terrorists, and took an active part in the attempt to restore the organization’s rocket production capabilities and infrastructure.”
Meanwhile, the IDF says that troops with the 162nd Division killed more than 30 gunmen in close-quarters combat and by calling in airstrikes in southern Gaza’s Rafah in the past day.
West Bank, Gaza huko kote wamejaa magaidi na ndio maana Israel anashughulika nao effectivelySiyo west bank?!
Waache wafie humo humo na ajuza wao Faiza fox ili wamgeuze kitoweo( kama wale bikira 72)
😇😆😆😆😆Ulishaungama kwa yule padri shoga ?
Fikra hizi za kiduwanzi umezitoa wapi?Hivi mwanamke wa kiislam akifa anapgania dini ndo anageuka bikira kwa ajili ya kuliwa na shaidi wa kiume? Msaada tafahali kwenye tuta
Kuanzia huyo Saint Anno II na huyu wote hawawezi kukupa majibu ya hizo silaha za maangamizi wanazosemea.Islamic jihad ni ya Gaza!?..silaha za maangamizi ni zipi?
Basi sitaki tena kufa kama shahidi....kumbe bikira 72 ni ulongo tuFikra hizi za kiduwanzi umezitoa wapi?
Na hilo neno la bikra 72 wewe umetoa wapi?
Maana katika uislam hatuna hiko kitu.
Soma hapa uone Pegasus spyware inavyowa identity by location, picture and messagesHii siyo bure, labda wale vijana wa kipalestina waliokamatwa na Israel watakuwa wanatoa siri za hamas
Unavyoongea kana kwamba hiyo Israel haijaguswa na kuumia.Netanyahu anagandamiza msumali wa moto. Halafu kuna wajinga wanajisifia kama vile kwenda Israel kupigana ni sawa na kwenda kijiweni kula tende na kahawa.
Sipendi kuona mauaji yanayoendelea na nina wacheka wale wanaotaka kutuaminisha wao ni speacial kwahiyo wanaweza kumuua yoyote
Wamemghafilisha kweri kwerii(jiwe's voisi)Yaudi kaghafirika.
Hawafanyi yote hayo, sio wajinga hata kidogo. Mfano Deif alikuwa anajificha sana. Hawatumii mawasiliano ya mtandaoni wala hawana utambulisho sahihi.Unajijua unasakwa na IDF na mbele yake yupo marekani, unafanya fingerprint wakati unasaka passport, bado unasafiria passport, tena unatumia smartphone, unatumia email, unatumia google kusoma vitu, una account Facebook, insta na tiktok, hapo pote haujui kama jamaa wanakua wanakusoma ujinga wako wote kila dakika
Unavyoongea kana kwamba hiyo Israel haijaguswa na kuumia.
Hivi unajua Israel ina askari 70000 walemavu wa kudumu hadi sasa kulingana na vita ya Hamas na mashambulizi ya Hizbollah!??
Usiwaweke hao Israel kuwa ni special.
Ashapewa mabikira 72?Wadau hamjamboni nyote?
IDF yaendelea kutembeza kichapo kwa Viongozi wa magaidi Mashariki ya kati
Muda mfupi uliopita gaidi mmoja anayehusuka na kitengo cha silaha na fedha za kikundi hatari cha Islamic jihad ameuawa kwa kombora la ndege.
IDF inasema kwamba al-Jabari alikabidhiwa idara/ kitengo cha uzalishaji wa silaha katika Ukanda wa kaskazini wa Gaza, usambazaji wa mishahara na pesa kwa magaidi wa kikundi hicho , na alishiriki kikamilifu katika jaribio la kurejesha uwezo na miundombinu ya kikundi hicho kutengeneza roketi.
Hakuna gaidi aliyehusika kuongoza su kupanga shambulizi la Oktoba 7 nchini atakayesalimika na mkono.imara wa Wana wa Yakobo
Taarifa kamili hapo chini
A senior Palestinian Islamic Jihad commander was killed in an Israeli airstrike in the Gaza Strip, the military says, as troops continue operations in Rafah and the Netzarim Corridor.
Muhammad al-Jabari was the deputy head of an Islamic Jihad weapons manufacturing unit, and responsible for the unit’s finances, according to the IDF.
The IDF says that al-Jabari “was entrusted with the organization’s production of weapons in the northern Gaza Strip, distribution of salaries and money to the organization’s terrorists, and took an active part in the attempt to restore the organization’s rocket production capabilities and infrastructure.”
Meanwhile, the IDF says that troops with the 162nd Division killed more than 30 gunmen in close-quarters combat and by calling in airstrikes in southern Gaza’s Rafah in the past day.
Mbona mnasema waislam nyote ni wamoja.Huyo mwamba sisi waislam wa madhehebu ya Shia tunamtukuza sana.
Ni kipenzi chetu cha dhati. Alikuwa mjukuu wa mtume Muhammad mtoto wa binti ya Mudi Fatma. Baba yake alikuwa Ali binadamu ya Mudi.
Bila yeye kuupigania, kuutetea Uislamu, uislamu usengekuwepo.
Sunni wanamchukia bila sababu lakini sisi Shia ni kipenzi chetu cha dhati.
Kupitia yeye tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.
Ni muhimu na lazima waislam wote wa Shia kwenda Karbala na Najaf kuhiji ambapo kipenzi chetu alikufa.
Allah amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imam Hussein.
Chini hapo ni seal ya kipenzi chetu. Kila nyumba ya mshia utakuta imening'inizwa ukutani.View attachment 3059621
Na hii picha hapo chini naam ndiye mwamba mwenyewe.
View attachment 3059622
adriz ephen_ Malaria 2 Kinyungu Code 255
Wanakudeku na kusema..."look at that bvstvrd doing in the dungeon "..!We are going to smoke out all of them. Horrible!Unajijua unasakwa na IDF na mbele yake yupo marekani, unafanya fingerprint wakati unasaka passport, bado unasafiria passport, tena unatumia smartphone, unatumia email, unatumia google kusoma vitu, una account Facebook, insta na tiktok, hapo pote haujui kama jamaa wanakua wanakusoma ujinga wako wote kila dakika
Na hata hapa pia naona unatudanganya.Nimesema na narudi tena kusema. Salama yao sio kuiondoa Israel. Ni kuishi kwa pamoja. Haya mambo ya mtu mmoja na roho yake mbaya kutumia dini kukangamiza wengine, kwa mambo ambayo hata yeye anayafanya, haitaweza kubadili Israel na Mashariki ya kati.
Wakifa waisrael 20, kwa mfano, inatokea nini baadae? Namba haziongopi. Ila sisi huku tusiojua dunia inavyofanya kazi, kina maamuma, ndio tunajilisha upepo na kudanganyana
adriz Malaria 2Mbona mnasema waislam nyote ni wamoja.
Kuna msikiti wa shia hapa karibu, jinsi wanavyotoa mawaidha kidogo nilistuka na kuhisi huko kwenye uislam nako kuna makundi.
Imam anauongelea ushia tu, sijui shia hivi mara shia vile, shia tuko sahihi sana, serikali imeanza kushikamana na shia nk.
Na ninyi shia mkiwa imam akiwa anatoa mawaidha ndo huwa naskia adhana za sunni.
Nilipo nimezungukwa na misikiti karibu 5. Kuna mingine naona ratiba za ibada zinatofautiana.
Shia na Sunni utofauti wake hasa ni kwenye hao wajukuu wa mtume tu au kuna mengine??