Time will tell mkuu.,
Nadhani huu mchezo wa genetic modifications wa viumbe ni hatari sana kwetu,athari za genetic modified species ni kubwa kuliko faida.
Kwa mtu yeyote mwenye knowledge japo kidogo ya biotech atajua hawa retrovirus wanakuwaboosted kwa malengo fulani?HUU MCHEZO KUNA SIKU UTALETA MDUDU ATAKAYE FUTA SPECIES YA MWANADAMU
Sio kweli hata kidogo sikubaliani na point zako kbs!!!Well, theory yako ina walaki kutokana na hakuna mwenye uhakika kama ni kweli ugongwa ilianzishwa na Wachina au Wamarekani. Sisemi kama ni kweli au sio kweli lakini kuna sababu nyingine pia zinazoweza kuchangia kwanini huu ugonjwa umeweza kutapakaa nchi za Magharibi kwa haraka ukilinganisha na nchi za India, Russia au Afrika.
kilichopelekea huu ugongwa kukuwa sana kwenye nchi za Magharibi na Marekani, ni pamoja na nchi hizo kuwa na kipato cha juu kinachowawezesha kusafiri kati ya China na nchi zao za Maghararibi. Nchi nyingi za Magharibi walifunga viwanda vyao vya kuzalisha bidhaa ndogo-ndogo ktk miaka ya 70, China akachangamkia fursa miaka ya 80, leo hii hakuna nchi inaweza kujitosheleza bila ya bidhaa za kutoka China. Japo India ni nchi inayo pakana na China, lakini wahindi wengi bado ni watu kipato chini na hapo hapo wanategema sana bidhaa zinazo zalishwa ndani ya India kuliko nje.
Ugonjwa umeweza kushamiri kwenye nchi za Magharibi kwa kasi kutokana na sababu mbili, kwanza nchi za Magharibi watu wao wako very social and free (hakuna vita na wengi wanakazi na pesa mifukoni), na cha pili, nchi za Magharibi zina wazee wengi wanaoishi maisha mrefu 70,80,100 years old. Lakini hapo hapo hao wazee wengi wana underline health issues ikiwa pamoja na magonjwa ya kupumua, virusi vya corona vinapenda kukaa kwenye mapafu ya watu na kuwapunguzia uwezo wa kupumua kirahisi.
Miaka yote ya industrial revolution hakukuwahi kuwa na korona leo ndo uje kunambia hiviChina viwanda vingi sana vimefungwa na kufanya hewa iwe Safi at least
Wengi wameanza kupona kwa hali ya hewa nzuri ambayo waliichafua kwa viwanda
Wale waliokuwa wanapiga kelele za tabianchi wanasherehekea kwani hata ndege ziko grounded
Dunia ilichafuka sana acha tu
Sent from my iPhone using Tapatalk
virus sio vya wachina bnaHe's not wrong, it came from China.
Russian Oligarchs ndio wameshikilia pesa ya Urusi, middle income wa Urusi wanasafiri lakini huwezi kulinganisha na wenzao wa US UK FRANCE au Germany.Russia pia ni nchi ambayo inajitosheleza sana kwa rasimali na uzalishaji wa ndani,raia wake wengi wanasafiri zaidi Ulaya ambako ni wateja wao wakubwa wa gesi na mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema ni askari wa US tu ndio waliokuwepo huko Wuhan?
Chanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.
Mengine ni Propaganda tu.
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.
Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
I agree. Sisi wenyewe tuu hapa tulipata order ya kutuma masks kwenda china maana viwanda vyote vimefungwa.China wazee wa kupika data... Utasemaje China hawajapoteza uchumi ilihali kila kitu kimesimama?
china kwenye propaganda hawawezi..
😂😂😂😂😂😂Marekani nasikia wameiba test kit 500,000 toka Italy usiku huu
.Hawezi kupata picha hata kidogo kwa sababu hakuna facts zozote huko,ni kama vile kitabu cha riwaya ya kutunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hlo ni agano la kale agano jipya kila mnyama alipewa kibali kuliwaWala nguruwe msijifariji. Kuna uwezekano huyo.mdudu wa nguruwe. Biblia inakataza, Yesu aliwaangamiza nguruwe, Qur'an imekataza, nyie mnaojidai ujanja kufakamia nguruwe mmelikoroga sasa mlinywe.
Watu wa hii dini siku zote wanapingana na sayansi na wanaamini kila kitu kinatengenezwa marekani dhidi yaoJanuari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.
Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.
Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.
Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.
wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.
Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.
Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.
Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.
Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.
Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
Uongo huo. Yesu anasema hakuja kutengua Taurati.Hlo ni agano la kale agano jipya kila mnyama alipewa kibali kuliwa
Nguruwe mtamu aisee wacha kabisa
Miaka yote ya industrial revolution hakukuwahi kuwa na korona leo ndo uje kunambia hivi
Low thinking capacity
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli ya "mchumia janga hula na wakwao" ndipo inapofanya kazi usishangae maafa kwa US yakawa Makubwa kuliko kwa China.Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.
Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.
Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.
Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.
wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.
Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.
Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.
Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.
Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.
Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.