Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Leta ushaidi ni genetic modified specie,vinginevyo ni porojo tu.
Time will tell mkuu.,
Nadhani huu mchezo wa genetic modifications wa viumbe ni hatari sana kwetu,athari za genetic modified species ni kubwa kuliko faida.
Kwa mtu yeyote mwenye knowledge japo kidogo ya biotech atajua hawa retrovirus wanakuwaboosted kwa malengo fulani?HUU MCHEZO KUNA SIKU UTALETA MDUDU ATAKAYE FUTA SPECIES YA MWANADAMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, theory yako ina walaki kutokana na hakuna mwenye uhakika kama ni kweli ugongwa ilianzishwa na Wachina au Wamarekani. Sisemi kama ni kweli au sio kweli lakini kuna sababu nyingine pia zinazoweza kuchangia kwanini huu ugonjwa umeweza kutapakaa nchi za Magharibi kwa haraka ukilinganisha na nchi za India, Russia au Afrika.

kilichopelekea huu ugongwa kukuwa sana kwenye nchi za Magharibi na Marekani, ni pamoja na nchi hizo kuwa na kipato cha juu kinachowawezesha kusafiri kati ya China na nchi zao za Maghararibi. Nchi nyingi za Magharibi walifunga viwanda vyao vya kuzalisha bidhaa ndogo-ndogo ktk miaka ya 70, China akachangamkia fursa miaka ya 80, leo hii hakuna nchi inaweza kujitosheleza bila ya bidhaa za kutoka China. Japo India ni nchi inayo pakana na China, lakini wahindi wengi bado ni watu kipato chini na hapo hapo wanategema sana bidhaa zinazo zalishwa ndani ya India kuliko nje.

Ugonjwa umeweza kushamiri kwenye nchi za Magharibi kwa kasi kutokana na sababu mbili, kwanza nchi za Magharibi watu wao wako very social and free (hakuna vita na wengi wanakazi na pesa mifukoni), na cha pili, nchi za Magharibi zina wazee wengi wanaoishi maisha mrefu 70,80,100 years old. Lakini hapo hapo hao wazee wengi wana underline health issues ikiwa pamoja na magonjwa ya kupumua, virusi vya corona vinapenda kukaa kwenye mapafu ya watu na kuwapunguzia uwezo wa kupumua kirahisi.
Sio kweli hata kidogo sikubaliani na point zako kbs!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China viwanda vingi sana vimefungwa na kufanya hewa iwe Safi at least
Wengi wameanza kupona kwa hali ya hewa nzuri ambayo waliichafua kwa viwanda
Wale waliokuwa wanapiga kelele za tabianchi wanasherehekea kwani hata ndege ziko grounded
Dunia ilichafuka sana acha tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Miaka yote ya industrial revolution hakukuwahi kuwa na korona leo ndo uje kunambia hivi

Low thinking capacity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Russia pia ni nchi ambayo inajitosheleza sana kwa rasimali na uzalishaji wa ndani,raia wake wengi wanasafiri zaidi Ulaya ambako ni wateja wao wakubwa wa gesi na mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Russian Oligarchs ndio wameshikilia pesa ya Urusi, middle income wa Urusi wanasafiri lakini huwezi kulinganisha na wenzao wa US UK FRANCE au Germany.

Ukiangalia hii link utaona nani ameshika utajiri wa Russia.

Richest 3% Russians Hold 90% of Country’s Financial Assets – Study - The Moscow Times
 
Unataka kusema ni askari wa US tu ndio waliokuwepo huko Wuhan?

Chanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.

Mengine ni Propaganda tu.

Chanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.

Naomba reliable source ya hio taarifa.
 
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.

Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.

Sasa kama hazitakiwi kabisa then kwanini zinatengenezwa?
 
Coronavirus cases, U.S.

New York: 2,914
Washington: 1,187
California: 690
New Jersey: 427
Florida: 327
Illinois: 288
Louisiana: 280
Massachusetts: 256
Colorado: 221
Georgia: 197
Pennsylvania: 133
Wisconsin: 114
Michigan: 110
Texas: 108
Tennessee: 100
Connecticut: 97

Always trust yr self.
 
Hawezi kupata picha hata kidogo kwa sababu hakuna facts zozote huko,ni kama vile kitabu cha riwaya ya kutunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
.
You must be joking...unafkiria hizo ni habari za kutunga???...trump kaonekana live akipigana na foreign company Huawei ...kitu adimu sana duniani kwa serikali kupambana na kampuni zilizopo nchi zingne ...hapo lazma ujiulize kwanini....
Pili walipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed.....halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network..
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.
Think outside the box mkuu
 
Wala nguruwe msijifariji. Kuna uwezekano huyo.mdudu wa nguruwe. Biblia inakataza, Yesu aliwaangamiza nguruwe, Qur'an imekataza, nyie mnaojidai ujanja kufakamia nguruwe mmelikoroga sasa mlinywe.
 
Wala nguruwe msijifariji. Kuna uwezekano huyo.mdudu wa nguruwe. Biblia inakataza, Yesu aliwaangamiza nguruwe, Qur'an imekataza, nyie mnaojidai ujanja kufakamia nguruwe mmelikoroga sasa mlinywe.
Hlo ni agano la kale agano jipya kila mnyama alipewa kibali kuliwa

Nguruwe mtamu aisee wacha kabisa
 
Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.

Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.

Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.

Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.

wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.

Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.

Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.

Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.

Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.

Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
Watu wa hii dini siku zote wanapingana na sayansi na wanaamini kila kitu kinatengenezwa marekani dhidi yao
 
Lakini kweli inakuaje corona ishindwe kuwazingua wahindi na warusi ambao wamepakana na wana maingiliano makubwa na china
 
Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.

Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.

Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.

Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.

wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.

Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.

Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.

Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.

Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.

Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
Kauli ya "mchumia janga hula na wakwao" ndipo inapofanya kazi usishangae maafa kwa US yakawa Makubwa kuliko kwa China.
Binafsi waafrika tunamwitaji Mchina zaidi kuliko USA. Vitu vinavyotumika Africa 80% is from China

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom