Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kwenda nipitie mate..Sijui biblia inasemaje kuhusu hiyo kitu ila kama si dhambi itabidi niende nikapandikize[emoji125][emoji125]
Njaa mjini Pesa ya kula washibe hawana.Nguvu za kiume ni kuwa na pesaWanaume wa mikoani mnakwama wapi? mpaka mimba mpandikiziwe?
Yawezekana hunifikii kielimu wala kimsimamo tusimamie mambo yetu ya msingi usawa serikalini na kwenye taasisi za uma ijumaa itambulike kama siku yetu ya ibada watoto wetu wa kike wasizuiwe kuvaa hijab mashuleni na sehemu nyengine hayo yanatuhusu sisi direct yakiguswa hayo na yanayofanana na hayo hapo lazma kiwake sasa watu wanaongelea kupandikiza mbegu kwenye hospitali ya uma(Muhimbili) unasema ni kinyume na mafundisho ya bwana mtume(S.A.W) sasa mkristo ama mpagani inamuhusu nini? Sikatai ni kinyume cha mafundisho yetu lakini huu upuuzi ungefanyika kwenye hospitali zetu ndio tungepaswa kuhoji sio Muhimbili elewa hoja usijione wewe ndie mjuzi sana wa dini nikisikia Amana benki wameanza kutoa mikopo ya riba nitahoji na nitashangaa sana ila sio kwa Crdb,Nmb nk sababu najua hazihusiani na dini!Wewe basi ni Muislam jina..!
....unasema ni kinyume na mafundisho ya bwana mtume(S.A.W)
Sikatai ni kinyume cha mafundisho yetu lakini huu upuuzi ungefanyika kwenye hospitali zetu ndio tungepaswa kuhoji sio Muhimbili elewa hoja!
😄🎵Kigani eeh fungua njia kitoto kaanza taamba🎵Dah hiyo nifursa kwa bashite maana alikuwa anasumbuka kwenda China.. Najua anafurahia saana
Kwa faida naomba kuelewa ni mafundisho gani ya Mtume yapi hayo?Mbona hii ni kinyume na maagizo ya Allah (SAW)
We unawakika baba yako ndo mzazi wako????Sasa mtoto akifanya makosa shule akaambiwa kamlete mzazi wako wa kiume itakuwaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umemanisha niniSawa tu. Ndiyo maendeleo hayo tunayoyataka! Wale ambao ni wazee na wenye changamoto mbalimbali, bila shaka watapata unafuu.
kwa hiyo hata machinjio ya umma wakiwa wanachinja kikafiri utasema haina shida sababu ni ya umma? hivi mfano wakianza kufundisha ushoga mashuleni utasema ni sawa kwa sababu ni shule za umma?Yawezekana hunifikii kielimu wala kimsimamo tusimamie mambo yetu ya msingi usawa serikalini na kwenye taasisi za uma ijumaa itambulike kama siku yetu ya ibada watoto wetu wa kike wasizuiwe kuvaa hijab mashuleni na sehemu nyengine hayo yanatuhusu sisi direct yakiguswa hayo na yanayofanana na hayo hapo lazma kiwake sasa watu wanaongelea kupandikiza mbegu kwenye hospitali ya uma(Muhimbili) unasema ni kinyume na mafundisho ya bwana mtume(S.A.W) sasa mkristo ama mpagani inamuhusu nini? Sikatai ni kinyume cha mafundisho yetu lakini huu upuuzi ungefanyika kwenye hospitali zetu ndio tungepaswa kuhoji sio Muhimbili elewa hoja usijione wewe ndie mjuzi sana wa dini nikisikia Amana benki wameanza kutoa mikopo ya riba nitahoji na nitashangaa sana ila sio kwa Crdb,Nmb nk sababu najua hazihusiani na dini!
Suala la machinjio hilo lishaisha hadi hii leo wewe unakula nyama kuna watu wamefight sana hadi serikali na jamii kukubali na kuona ni kawaida machinjio kuwa na mchinjaji muislam mwanzo hali haikuwa hv km uonavyo kwenye uvaaji hijab na sala ya ijumaa mada yetu mimi nawe tunaongelea jambo jipya ambalo wewe na imani yako halikugusi kabsaaa umeambiwa Muhimbili wana pandikiza mimba hiari yako uende usiende deal na vitu vinavyogusa moja kwa moja imani yako km wao wataenda kupandikiza ni juu yao suala la ushoga nalo mada yake tulishafunika kitambo sio sisi tu waislam hata wakristo na wapagani hawaukubali na unapigwa vita vya kutosha ingawa miongoni mwetu wapo wanaosapoti ila bado haiondoi ukweli kwamba asilimia kubwa tunaupiga vita!kwa hiyo hata machinjio ya umma wakiwa wanachinja kikafiri utasema haina shida sababu ni ya umma? hivi mfano wakianza kufundisha ushoga mashuleni utasema ni sawa kwa sababu ni shule za umma?
Yeye alienda Nairobi Agakhan mwaka 2014 ndio alilipa bei hiyo.Mbona mikocheni pale m 10 tu.tulipata dogo hapo mwaka juzi