Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Hivi kisheria unawezaje kuukana uraia wa nchi yako ili kuepuka kudhalilishwa ?
Wale raia Wamarekani na Ulaya wanaopenda kuhamia Tanzania, nadhani ni muda mwafaka wa kupewa free pass -- bila masharti yoyote maana wameonesha uzalendo.
 
Tayari tumepigwa.Niliposikia BBC wakitangaza Tanzania imenunua mashine mbili...kilichoendelea nikaishiwa nguvu nikazima redio.Nilikimbilia habari nikitamani kusikia ni mashine mbili za kupima Watanzania ugonjwa wa corona.

Bahati mbaya hawajasema zinagharimu kiasi gani labda 1b au na zaidi.Ngoja tutajua tu.Kumwona daktari wa kibanda hiki book 5.Hajasema kwa muda gani.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania since Independence, nchi yetu ya Tanzania imethibitisha beyond reasonable doubt kwamba inaweza kujisimamia yenyewe bila kuburuzwa kwa usukani wa London & Washington.
 
And mtu inabd ajifukize mara ngap kila baada ya mda gan ile iwe effective maana unaeza kuta inabd kila siku sasa ni wangap wataweza ku affird 5k kila siku kisa kujfukiza plus naul za kumfikisha huko
 
Du kumbe zimenunuliwa? Mbona kutengeneza sauna ni kitu rahisi sana hata fundi wa mtaani anaweza kufanya kama ana ujuzi? All in all. Awamu hii imenifanya nijue ni kwa nini waafrika hatuendelea. Kumbe hata wasomi ''tumbo'' linawafanya wageuzwe nyuma mbele bila kujielewa.
 
 
Tunafanya mizaha sana.
 

Tatizo nadhani siyo kupinga sayansi bali kwa mbaaaali tunakale kaugonjwa kuwa lazima aanze kwanza mzungu ndio inakuwa sayansi ya ukweli.
Ngozi nyeupe wametumia sana mivuke ya Eucalyptus na sisi tunaita Bupigi.
Wataalamu wetu wafanye clinical trials.
 
Kwangu mm ni sahihi kutumia kinga ya asili kwa njia ya vyakula na mtindo wa maisha ila tiba inahitaji utafiti regdless ni dawa gani inatumika iwe ya asili ya Mwafrika au ya asili nje ya Africa.

Nina wasiwasi na ufukizaji. Utafiti pasipo shaka ufanyike kwanza. Tiba haiitaji siasa.
 
Huko ndani ya hizo mashine Sasa ndio watu wanaambukiza korona vizuri,manake wataoenda huko wengi Ni wenye matatizo ya upumuaji!!

Wenye matatizo Kama pumu wanaeza fia huko!!

Huu Ni upumbavu wa Hali ya juu
 
Wapi picha mkuu, nipime value for money kwenye hiyo mashine ya milioni saba
 
Kwani dawa ya kujifukizia ambayo india wameifanyia majaribio na ikaonyesha mafanikio ndiyo dawa tunayoitumia sisi kujifukizia?
Dawa ya kujifukizia wanayotumia hapo [and actually imekua ikiuzwa kwa miezi kadhaa (pia wengine hutumia kwa kunywa)], ni mafuta tete/essential oil ambayo inaitwa Bupiji. Haya mafuta nimeona duka moja wanauza 35,000/-.
 
Haya ndiyo matokeo ya kuweka mataputapu ikulu!I think the worst is yet come!🚶🚶🚶
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…