rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Inawezekana. Ngoja nione mwisho wake.
Unajua kwenye vita ya kuchuniana kati ya mwanamke na mwanaume, mbeleni mwanamke huwa anasalimu amri na kuomba suluhu. Wenzetu wana mioyo miepesi.
Huwajui wanawake wewe