Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Mkuu mwanamke akikuonyesha anakupenda nextime usimuignore...ishawahi kunikuta nikiwa chuo nikikumbuka huwa inaniuma sana aisee she was very cute ila ni ule uoga kwamba sina pesa sitaweza kumuhandle ndo kilichoniponza,ila huwa nataman siku zirudi nyuma kwakwel! Alionyesha wazi kuwa ananipenda ila wapi sikujiongeza kilichofata sasa akaanza kunichukia waziwazi[emoji23]
 
Mkuu mwanamke akikuonyesha anakupenda nextime usimuignore...ishawahi kunikuta nikiwa chuo nikikumbuka huwa inaniuma sana aisee she was very cute ila ni ule uoga kwamba sina pesa sitaweza kumuhandle ndo kilichoniponza,ila huwa nataman siku zirudi nyuma kwakwel! Alionyesha wazi kuwa ananipenda ila wapi sikujiongeza kilichofata sasa akaanza kunichukia waziwazi[emoji23]
MANDEVUMENGI inawezakana hizi ni ishara kwamba huyu dada alinipenda, ila baada ya mimi kutofanya chochote ndio akaanza hivi?
 
MANDEVUMENGI inawezakana hizi ni ishara kwamba huyu dada alinipenda, ila baada ya mimi kutofanya chochote ndio akaanza hivi?
Yaah huyo demu alikupenda ila wewe hukujali...mwanamke akipenda huwa anapenda kweli na dalili zao huwa hazijifichi kabsa...namkumbuka L maskini alinipenda sema ule uoga na ule uzuri nikahisi sitoweza kumuhudumia
 
Yaah huyo demu alikupenda ila wewe hukujali...mwanamke akipenda huwa anapenda kweli na dalili zao huwa hazijifichi kabsa...namkumbuka L maskini alinipenda sema ule uoga na ule uzuri nikahisi sitoweza kumuhudumia
MANDEVUMENGI Pole sana mkuu.

Huyu dada kwasababu nimeanza kwenda hapo mgahawani tangu miaka michache ya nyuma, najua ana mtoto. kwasababu kuna kipindi cha nyuma wakati nakwenda alikuwa ni mjamzito, kwahiyo automatically ni kwamba huyu dada ana uhusiano wake mwingine. Kwahiyo mimi sikuchukulia kama yeye ana hisia zozote na mimi!
 
Back
Top Bottom