Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Akiipata A wewe inakuuma nini?Sasa A ya Music unashoboka kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiipata A wewe inakuuma nini?Sasa A ya Music unashoboka kabisa?
So what? Chemical alisoma Archaeology sio Music? Scholarships zipo hata za mambo ya 🌈Unahisi music hauna wataalamu wenye masters na phd.
Walimu wa music wa hapo udsm ama vyuo vikuu vingine hawana elimu ya masters na phd ?
Kozi za music zina scholarships nyingi sana tena za vyuo vikuu bora duniani.
Msanii wa bongo fleva chemical alimaaliza hapo udsm degree ya music amepewa scholarship ya masters na PHD kwenye chuo kikuu kikubwa uingereza
First class za Degree za engineering hawapati hizo schoraships za vyuo bora vya ulaya na marekani wanaishia kusoma japan , china ama vyuo vya Africa.
Ila hao madogo wa music wanapewa scholarships vyuo vikuu bora vya ulaya na marekani. Wazungu wanapenda sanaa sana
Kuna kila dalili Ni 🌈Hongera zake, siyo papai lakini?
Kwani ukisoma masters in chemistry unataka kuwa nani?Dogo mwenyewe mwepesi tu. Sasa hiyo Masters in Music anataka kuwa nan?
Inatisha.Kuna kila dalili Ni 🌈
Watu washakariri kua elimu ni kukomaa na midude mikubwa mwisho wa siku wanakua na vyeti vyenye majina mazito ila hawana mchongo wowote.Unahisi music hauna wataalamu wenye masters na phd.
Walimu wa music wa hapo udsm ama vyuo vikuu vingine hawana elimu ya masters na phd ?
Kozi za music zina scholarships nyingi sana tena za vyuo vikuu bora duniani.
Msanii wa bongo fleva chemical alimaaliza hapo udsm degree ya music amepewa scholarship ya masters na PHD kwenye chuo kikuu kikubwa uingereza
First class za Degree za engineering hawapati hizo schoraships za vyuo bora vya ulaya na marekani wanaishia kusoma japan , china ama vyuo vya Africa.
Ila hao madogo wa music wanapewa scholarships vyuo vikuu bora vya ulaya na marekani. Wazungu wanapenda sanaa sana
Huu mfumo waubadilishe kwa kweli msuli wa CoET ni balaa zitotena wanakazia kabisa ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM
ilihali wanajua fika msuli(na GPA) wa CoET tofauti na wa mangwini
Na A zake hata kazi kwenye hatapata. Music bongo hautaji A za kwenye vyeti. Ajitunze tu vinginevyo wataruka nae aishie majuto
😂 😂 😂 😂 😂 WE JAMAA KAVU SANAAjitunze tu vinginevyo wataruka nae aishie majuto
Watu hawaelewi piano Ni ngumu na wanaoijua wanalipwa pesa ndefu mno hata kuifundisha.Tumpe heshima yake maana Hiyo degree hajasoma peke yake darasani.
Na pia haijaanzishwa jana wala leo.
Kama ni rahisi mbona wengine hawajapata hizo A kama zake.
Kujua kupiga kinanda ni taaluma kubwa ambayo hujifunzi miaka mitatu.
Nahisi huyu dogo aliingia chuo akiwa tayari anajua piano.. ndio maana ikawa rahisi kwake kubutua A za kutosha.
Maana mziki asilimia kubwa upo kwenye Piano
Anaitwa nani ?Habari wadau,
Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023.
Kijana huyo ameongoza kwa GPA ( 4.8) ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM.
Amesoma Bachelor of Arts in Music
GPA hiyo ameipata kwa kujua kupiga kinanda vizuri
Kujua kuimba live na kucheza vizuri
Kujua kufanya fashion show vizuri ( model)
Pamoja na kuwa mburudishaji mzuri kwenye events zinazoendeshwa na udsm department ya creative arts.
Hii inaonesha udsm na wao ni wametambua kwamba dunia imebadilika. Vitu vyepesi vya kuimba na kudance dance ndio vinapendwa na kizazi cha 2000 maarufu kama generation Z.
Best student alivyotangazwa ameshangiliwa na wahitimu wotee maana wanamjua balaa lake akiwa jukwaani.
Amepewa ufadhili wa masters. Na zawadi zingine.
View attachment 2785429View attachment 2785430
View attachment 2785431
Oooh,bi mkubwa umeona eehHongera zake, siyo papai lakini?
Pale FPA hata ,Mwijaku alipitaNadhani na Chemical nae alipita humohumo!!
We ajuza sijui siku hizi umekuaje?? 24/7 active na bado una comment utumboHongera zake, siyo papai lakini?
Diamond Hana hata cheti cha form4 (leaving certificate) Ila anaburuza. Vyuo vikuu aisee