Muimbaji na mpiga kinanda kutoka Creative Arts atangazwa best student UDSM. Gen Z elimu for fun!

Muimbaji na mpiga kinanda kutoka Creative Arts atangazwa best student UDSM. Gen Z elimu for fun!

Unahisi music hauna wataalamu wenye masters na phd.

Walimu wa music wa hapo udsm ama vyuo vikuu vingine hawana elimu ya masters na phd ?

Kozi za music zina scholarships nyingi sana tena za vyuo vikuu bora duniani.


Msanii wa bongo fleva chemical alimaaliza hapo udsm degree ya music amepewa scholarship ya masters na PHD kwenye chuo kikuu kikubwa uingereza

First class za Degree za engineering hawapati hizo schoraships za vyuo bora vya ulaya na marekani wanaishia kusoma japan , china ama vyuo vya Africa.

Ila hao madogo wa music wanapewa scholarships vyuo vikuu bora vya ulaya na marekani. Wazungu wanapenda sanaa sana
So what? Chemical alisoma Archaeology sio Music? Scholarships zipo hata za mambo ya 🌈
 
Unahisi music hauna wataalamu wenye masters na phd.

Walimu wa music wa hapo udsm ama vyuo vikuu vingine hawana elimu ya masters na phd ?

Kozi za music zina scholarships nyingi sana tena za vyuo vikuu bora duniani.


Msanii wa bongo fleva chemical alimaaliza hapo udsm degree ya music amepewa scholarship ya masters na PHD kwenye chuo kikuu kikubwa uingereza

First class za Degree za engineering hawapati hizo schoraships za vyuo bora vya ulaya na marekani wanaishia kusoma japan , china ama vyuo vya Africa.

Ila hao madogo wa music wanapewa scholarships vyuo vikuu bora vya ulaya na marekani. Wazungu wanapenda sanaa sana
Watu washakariri kua elimu ni kukomaa na midude mikubwa mwisho wa siku wanakua na vyeti vyenye majina mazito ila hawana mchongo wowote.

Huyo dogo akitoka hapo hakosi hata gigs za karaoke na kupata hela za kusurvive.
 
Na A zake hata kazi kwenye hatapata. Music bongo hautaji A za kwenye vyeti. Ajitunze tu vinginevyo wataruka nae aishie majuto

Amepewa scholarship ya masters na Anaajiriwa udsm kama tutorial assistant
 
Tumpe heshima yake maana Hiyo degree hajasoma peke yake darasani.

Na pia haijaanzishwa jana wala leo.

Kama ni rahisi mbona wengine hawajapata hizo A kama zake.

Kujua kupiga kinanda ni taaluma kubwa ambayo hujifunzi miaka mitatu.

Nahisi huyu dogo aliingia chuo akiwa tayari anajua piano.. ndio maana ikawa rahisi kwake kubutua A za kutosha.

Maana mziki asilimia kubwa upo kwenye Piano
Watu hawaelewi piano Ni ngumu na wanaoijua wanalipwa pesa ndefu mno hata kuifundisha.
Music is the hardest mathematics,nadhani huwa vinarandana fulani
 
Habari wadau,

Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023.

Kijana huyo ameongoza kwa GPA ( 4.8) ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM.

Amesoma Bachelor of Arts in Music

GPA hiyo ameipata kwa kujua kupiga kinanda vizuri

Kujua kuimba live na kucheza vizuri

Kujua kufanya fashion show vizuri ( model)

Pamoja na kuwa mburudishaji mzuri kwenye events zinazoendeshwa na udsm department ya creative arts.

Hii inaonesha udsm na wao ni wametambua kwamba dunia imebadilika. Vitu vyepesi vya kuimba na kudance dance ndio vinapendwa na kizazi cha 2000 maarufu kama generation Z.

Best student alivyotangazwa ameshangiliwa na wahitimu wotee maana wanamjua balaa lake akiwa jukwaani.

Amepewa ufadhili wa masters. Na zawadi zingine.

View attachment 2785429View attachment 2785430
View attachment 2785431
Anaitwa nani ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
GPA ya, arts! Na yanyewe ni ya kushangilia?
Tupo dunia ya artificial intelligence, wewe unaona arts ni kitu cha maana! Kama samia hata degree Hana, ila anapewa PHD, Mond anastahili zaidi ya hiyo degree na gpa zake,
Huyo, mwenye GPA, ngoja arudi kitaa, ataenda kuomba ajira kwa Mond
 
Back
Top Bottom