Muimbaji na mpiga kinanda kutoka Creative Arts atangazwa best student UDSM. Gen Z elimu for fun!

Muimbaji na mpiga kinanda kutoka Creative Arts atangazwa best student UDSM. Gen Z elimu for fun!

GPA ya, arts! Na yanyewe ni ya kushangilia?
Tupo dunia ya artificial intelligence, wewe unaona arts ni kitu cha maana! Kama samia hata degree Hana, ila anapewa PHD, Mond anastahili zaidi ya hiyo degree na gpa zake,
Huyo, mwenye GPA, ngoja arudi kitaa, ataenda kuomba ajira kwa Mond

Hakunaga best student wa udsm anasota kitaa kutafuta ajira.

Haijawai kutokea na haitawai kutokea

Best student anapewa fursa nyingi tu za ajira na za kusoma bure
 
Weka reference tuone

Wewe unaebisha ndie umtaje best student gani wa udsm na alipata u best student wa mwaka gani ambaye anasota hana mishe ya uhakika.

Kila mwaka udsm inamtangaza best student wa huo mwaka kwenye graduation.

Chuo kimeshafanya mahafali zaidi ya miaka 50.

Taja best student wa mwaka gani amesota kitaa hakupata mishe ya kueleweka.

Mfano huyu dogo best student wa mwaka huu ameshapewa fursa ya kusoma masters buree gharama zote analipiwa na chuo udsm. Baada ya hapo ana uhakika wa ajira pale pale chuo kama lecture msaidizi
 
So what? Chemical alisoma Archaeology sio Music? Scholarships zipo hata za mambo ya 🌈

Acha uongo.

Degree yake ya kwanza Chemical kaipata creative arts..

Degree ya kwanza ya msaniii chemical ni ya Performing Arts .

Na masters akarudi kusoma hapo hapo department ya creative arts.

Na PHD amepata scholarship kwenye chuo kikuu cha St Andrews UK. PhD yake ndio amefanya utafiti wa archeology za muziki wa Tanzania

Nakuwekea ushahidi wa mahojiano ya msanii chemical enzi akiwa anasoma degree ya kwanza hapo udsm
 

Attachments

  • Screenshot_20231019-113800_Firefox.jpg
    Screenshot_20231019-113800_Firefox.jpg
    183.3 KB · Views: 7
Hakuna haja kusoma makozi magumu wakati kuna kozi unamaliza unakuwa na kazi ya kusifia watu na hela unapata plus maisha safi
Kujisifia umesoma kozi ngumu na hela huna ni sawa na kuwa na kichwa bila ubongo
 
Hakuna haja kusoma makozi magumu wakati kuna kozi unamaliza unakuwa na kazi ya kusifia watu na hela unapata plus maisha safi
Kujisifia umesoma kozi ngumu na hela huna ni sawa na kuwa na kichwa bila ubongo

Kozi ngumu halafu una maisha magumu.

Dogo akiajiriwa udsm kama tutorial assistant analipwa mshahara sawa sawa na graduate wa engineering ambaye ameajiriwa udsm kama tutorial assistant.

Mishahara haiangalii kama wewe umesoma mambo magumu mwenzako mepesi..

Kama hapo zawadi za best student kapewa yeye.. maana chuo kozi zote haki sawa
 
Bora hata huyu tutamuona kwenye runinga anapiga kinanda tunafurahi
Yale mavigwasa ya sijui coet na conas ndio tunagombania nao mwendokasi wamechoka....
 
Ivy league university zote Zina sponsor watu wa michezo na kua mchezaji ni kigezo kikubwa Cha kuchaguliwa.
Watu wanauchukulia poa mziki kusoma kuchora staff notes wanaona ni suala jepesi jepesi tu 😄
 
Back
Top Bottom