Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio burudaniHuyo aliyesomea Music ndio nn?
Sasa UDSM ipo ivy League? Au unaota?Ivy league university zote Zina sponsor watu wa michezo na kua mchezaji ni kigezo kikubwa Cha kuchaguliwa.
Wanaodhani muziki ni kitu rahisi kama kemia na fizikia poleni sana.
BA Music Kwa nn usipate A?
Dogo mwenyewe mwepesi tu. Sasa hiyo Masters in Music anataka kuwa nan?Hii sio habari njema kwao
Ifike pahala kila college iwe inatoa mshindi wake wa GPA
Hivi kweli mtu wa CoET ashindanishwe kwenye GPA na wa COHU (Department of Creative Arts)
fita ni fita mraaaHii sio habari njema kwao
Ifike pahala kila college iwe inatoa mshindi wake wa GPA
Hivi kweli mtu wa CoET ashindanishwe kwenye GPA na wa COHU (Department of Creative Arts)
Kafanyaje kwani?Juhudi za mkuu wa Chuo Jakaya Kikwete zinapelekea fani ya sanaa kukubalika kwa academician.
Tumseme kwa mabaya
Tumpongeze kwa mazuri
Sio kila mtu anataka A we boyaKama ingekua rahisi kila mtu angeipata.
Na sio kila mtu anataka kua average we boya.Sio kila mtu anataka A we boya
Nimeshangaa sana mkuuDogo mwenyewe mwepesi tu. Sasa hiyo Masters in Music anataka kuwa nan?
Hii siyo kuwa Tanzania ndiyo ilikuwa nyuma kukubalika? Nchi nyingine haya ni mambo ya zamani tu na siyo suala la generation z....Habari wadau,
Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023.
Kijana huyo ameongoza kwa GPA ( 4.8) ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM.
Amesoma Bachelor of Arts in Music
GPA hiyo ameipata kwa kujua kupiga kinanda vizuri
Kujua kuimba live na kucheza vizuri
Kujua kufanya fashion show vizuri ( model)
Pamoja na kuwa mburudishaji mzuri kwenye events zinazoendeshwa na udsm department ya creative arts.
Hii inaonesha udsm na wao ni wametambua kwamba dunia imebadilika. Vitu vyepesi vya kuimba na kudance dance ndio vinapendwa na kizazi cha 2000 maarufu kama generation Z.
Best student alivyotangazwa ameshangiliwa na wahitimu wotee maana wanamjua balaa lake akiwa jukwaani.
Amepewa ufadhili wa masters. Na zawadi zingine.
View attachment 2785429View attachment 2785430
View attachment 2785431
tena wanakazia kabisa ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSMHivi kweli mtu wa CoET ashindanishwe kwenye GPA na wa COHU (Department of Creative Arts)
Sasa A ya Music unashoboka kabisa?Na sio kila mtu anataka kua average we boya.
HakikaKuna wakali kwa category za degree programs na masomo huyo hamna kitu ubest wa kukataa kiuno na kuimba ni majukumu ya mademu zetu.
Dogo mwenyewe mwepesi tu. Sasa hiyo Masters in Music anataka kuwa nan?
Sasa elimu imezalilishwa kivipi?wapige hela lakin sio kwenye uzalilishaji wa elimu bro,