Wengi huwa wanaona kabisa kuwa wanawake wao ni vichwa ngumu ila wanajipa moyo kuwa watawabadilisha wakiingia kwenye ndoa, hakuna mwanamke wa hivyo labda aamue kukufanyia maigizo.Kabisa!
Nilifanya maamuzi magumu mapema sana ,na kama nisingefanya hivyo huenda tungebadilishana majengo ya serikali
Muheshimu mwanaume wako acha mbwembwe na kujiona una akili sana, mbona mnapoomba matumiz hamtaki tukae mezan? Endelea na akili zako za kitoto hizo muwaache watoto yatima, hasira za mwanaume ni hatari sana, shauri yako.Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....
Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...
Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????
Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......
Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......
Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
Ppisi za hivi zimejaa hapo karatu hazina hata mabwana,any way kwa sababu issue imetokea mwanza basi wasukuma wanachachawa na vitu vyeupeee.Pisi sio kali kiivo ni weupe tu.
Enewei hata mimi siwezi mruhusu wife aende kwenye show za kipuuzi puuzi kama hiyo. Mwisho abakwe na vibaka bure.
RIP we mwanamke.
Na huo mwili haujapatikana sasa wamejuaje kua kajiua au how comez wahisi kajiua na mwili hawajauona?? Au ni kupoteza maboya tu jamaa ana pesa keshayeya!!
Kwa hivyo Ni mchezo wa timing?Siku zote ukishindaa kumuwahi mwanamke mambo lazima yawe magumu huko mbeleni maana hakunaga siri ya wawili bila kuhakikisha hakuna namna mahusiano yenu yanaweza kuvurugika.
Mwanaume mtawale na umfanye mwanamke kuwa mtu wa kufata oder zako kwa njia yoyote ile, hautakaa ujutie.
Usizubae kiasi cha mwanamke kukuwahi.
Amevuna alichopandaHuyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mapenzi yametupunguzia idadi ya makada wa CCM..!!Drama za mapenzi
Liverpool VPN
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alimjibuje sijui!!?.Risasi saba!!!Wanaume wenzetu wa Mwanza mnakwama wapi aisee huyu mbona ilikuwa wa kumuacha tuu usiku huo huo?
Wanaume wa dar huwa mnatuponda lakini ukweli unatakiwa utumie sana maarifa kuliko nguvu kwa wanawake wa sasa.
Dina Unanicheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo HiloMaandalizi yalianza mapema pale alipoanza kumiliki bunduki
Dina Unanicheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kw mwanamke asiye na utii kwa mumewe ni hatari sana kuishi nae usipomuacha basi muongezee mwenzake au wenzake walau uweze kuepukana na mambo kama haya.Alimjibuje sijui!!?.Risasi saba!!!
Nikiuawa Siku Yangu Imefika DEti wanawakee wako wakome yeye hatakoma
Ana wivu tu Ila hizo kauli sio nzuri maneno huumba
Nawe jitahidi kumuheshimu utauawa ohoo
Die hard friends bila kuwepo siri kubwa kati yenu inawezekana mkuu, ila kama kati yenu kuna siri kubwa ya kiuchumi na kimaisha kati yenu basi mambo huwa magumu sana mnapoingia kwenye migogoro.Kwa hivyo Ni mchezo wa timing?
.
Hakunaga kitu Kama hiki kwenye mahusiano.
.
Mie huwa naona mahusiano yaliyodumu wahusika Ni die hard friends
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni rahisi sana kusema hivi ikiwa haufahamu mapenzi yanavyoumizaJamaa ana uchu balaa sio kwa wivu huo, hivi unapatwaje na hasira wa wivu mpaka unamtoa mtu uhai si unamuacha mtu tu kwa amani, pisi zipo nyingii