digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kama umeona dogo ungepita kimya kimya...hatulingan uwezo wa kusolve matatizo kwako dogo kwangu sioMambo mengine utadhani ni ''mahoka''. Wewe ni mtu mzima tena mwanamke uliye kwenye ndoa na unashindwa namna ya ku-handle tatizo dogo namna hii?
Tuwekee takwimu za waliobakwa kwa muktadha kama huu.Ukisikiliza watu kama huyu utapotea. Huyu Sang'udi ni wale ma-popomaa wa uswahilini ambao watoto wanabakwa kila siku kwa sababu ya uzembe wa namna hii. Huyo baba na mama na hata dada wa kazi kwa nini wasiende kama ni karibu?
Haya. Ila siku nyingine usikubali mtoto kwenda dukani usiku, no matter how near it is.... Mimi ni mwanaume na kuna siku naenda kununua vitu vidogo vidogo kama chumvi ili tu watoto wasiende kwa sababu ni wadogo kama huyo. Huyo mume wako mwambie afanye hivyo hivyo.Kama umeona dogo ungepita kimya kimya...hatulingan uwezo wa kusolve matatizo kwako dogo kwangu sio
Ikinishinda nitakua sio wa kwanza wew unanifaham au kumfaham huyo mume wangu. Akiona kuna sehem nimetukanaNdoa itakushinda hivi karibuni. Kama jambo dogo tu kama hili umelileta hapa, vipi makubwa zaidi ya hili. By the way, una uhakika gani kama mmeo naye hayupo jamiiforum? Kama yupo hawezi kuona upuuzi huu?
Kwahio kila anachosema mama mkwe ni sahihi na sipaswi kutoa maoni akisema mwanangu asisome aolewe niseme sina jinsi kisa mama mkwe kasema . Kuhusu mtoto wangu nin kazi ya kumlinda kuliko mtu mwingjne yeyote na mama ndie ajuaae uchungu wa mwana.Wewe mwanamke mjuaji, mwanamke kuingilia kauli ya mumewe ni utovu wa nidhamu, huna nidhamu wewe,Harafu unapata wapi jeuri ya kuingilia maamuzi ya mama mkwe pamoja na mumeo!? ningekuwa mimi mmeo ningekung'oa taya right away!!
Makumi ya watoto wadogo wanabakwa kila mwaka kwa kutumwa.... fuatilia vyombo vya habari..Tuwekee takwimu za waliobakwa kwa muktadha kama huu.
Labda nikuambie jambo moja.Busara huna, unaropokwa matusi kwa mama wa watu wakati umesikiliza upande mmoja tu wa mwanamke asiye na adabu.
Kama busara na adabu yenyewe ndiyo hii ya kipuuzi ni bora niikose mkuu.Wewe huna busara wala adabu.
Mama mkwe wako ana akili sio wewe mkoswa adabu,huna adabu weewe ,narudia ningekuwa mimi ningekung'oa taya right away,unapata wapi ujasili wa kumkata kauri mama mkwe wako,nasikitika mwanamme mwenzangu kuoa gumegumeIkinishinda nitakua sio wa kwanza wew unanifaham au kumfaham huyo mume wangu. Akiona kuna sehem nimetukana
Kwahio kila anachosema mama mkwe ni sahihi na sipaswi kutoa maoni akisema mwanangu asisome aolewe niseme sina jinsi kisa mama mkwe kasema . Kuhusu mtoto wangu
Kama kua makini na Usalama wa mwanangu kunanifanya kua gumegume basi sawa . Namuonea pia huruma uliyemuoa maana nq yeye kapata gumegume la kiume lisojua mtoto mdogo anahitaj ulinzi wa wqzazMama mkwe wako ana akili sio wewe mkoswa adabu,huna adabu weewe ,narudia ningekuwa mimi ningekung'oa taya right away,unapata wapi ujasili wa kumkata kauri mama mkwe wako,nasikitika mwanamme mwenzangu kuoa gumegume
Tupo vizuri kwa ninavyoona mimi na tumeish vzuri kwa miaka zaidi ya 7 na hata navyaondika hapa hakuna ugomvi hapa home wala mpishano tumeamka tunapiga story na mam mkwe nakucheka.Hakikisha mahitaji ya muhimu yapo ndani ili kuepusha watoto kutumwa usiku.
Naona pia kama wewe na ma mkwe hampo sawa, kwanini atoke usiku na mjukuu badala utoke nae wewe?
Sasa unamwofia mtoto ambaye anarudia kwenye duka la mangi, ma mkwe yeye anaenda na nani huko?
Mmeo kaona sawa tu mtoto aende mbona mama anaenda mwenyewe.
Hebu kaeni vizuri na wazazi.
Mke wangu ana adabu,hawezi bishana na mama mkwe wake,wala mimi hajawahi nipinga hadharani,ndo maana hadi sasa niko ndoani kwa zaidi ya miaka 20,wewe sina imani kama miaka 10 itafika,tunza hii coment kwa rejeaKama kua makini na Usalama wa mwanangu kunanifanya kua gumegume basi sawa . Namuonea pia huruma uliyemuoa maana nq yeye kapata gumegume la kiume lisojua mtoto mdogo anahitaj ulinzi wa wqzaz
Tuwekee takwimu na chanzo chake.Makumi ya watoto wadogo wanabakwa kila mwaka kwa kutumwa.... fuatilia vyombo vya habari..
You have said it all. Uzi ufungwe sasaKuna issue 2:
1. Mama Mkwe yupo, hayo mazingira kum challenge mme, kuwa nayo makini especially kwenye issue ambayo Mama mkwe is involved.
2. Kwa nini wewe usinge voluntary amua kwenda instead ya mtoto au kumsindikiza mtoto, halafu bada ya hiyo issue ukateta na Mume wako?
3. Kwa nini Dada wa kazi aende dukan saa 3 mwenyewe? Ninaye Dada wa kazi ana miaka 19, ikifika saa 1 lazima asindikizwe dukani.
Maoni yangu:
- Kwa sababu mume kaona ume mu attack mbele ya Mama ya kum challenge mbele ya Mama yake, akaona akaze, ila amefanya jambo la kipumbavu sana.
- Kwa nini mtoto amwambie Baba yake amuangalie, asikuambie wewe au kwa nini wewe usingeenda na Mama? Inaonekana wewe ni mvivu ana sio kimbilio la mtoto.
Ushauri:
- Usimtume Dada mtoto wa watu usiku.
- Usi challenge mme wako akiwa na Mama yake.
- Jitoe kwa hiyari kusaidia jambo kama unaona mtoto si salama.
Bado nawaza:
Inawezekanaje Baba na Mama wapo ndani, mtoto wa miaka 5 aende dukani, Mume ni mshenzy na wewe ni mtu wa hovyo maana ungeweza inuka ukaenda.
Acha mdomo, the fact kwamba umeleta hii issue humu, ina maana bado unq ligi nayo, acha ligi na Mume, hili ni jambo dogo sana na kueleweshana.
Kuwa makini na huyo Mama Mkwe, hilo jibu lake la sawa sio zuri na ndo limeleta reaction yote hiyo, sasa na mume alivyo wa hovyo akataka mwonyesha Mama yeye ana msimamo
Ni wakikeanazoeshwa mtoto wa kiume asiwe moga moga
Mkuu hii ni familia isiyojielewa kabisa, hata mwanaume ni jukumu lake pia kusaidia familia yakeUko sahihi kabisa. Eti nyumba ina li-baba, li-mama na msichana wa kazi halafu wanatuma mtoto wa miaka 5 usiku dukani kwa sababu ni karibu. Sasa kama ni karibu si ndiyo ingekuwa kichochezi cha hilo-li-baba kwenda? Mbona mimi ni mwanamme na kuna siku nakwenda kununua hata chumvi kwenye mazingira kama haya?