Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Ukiona mkeo ugomvi kidogo anakimbilia kuachana ujue kuna NATO wanampa kiburi. Hapo kama sio mchungaji basi jamaa flani huko kanisani anamsuuza. Huyo mwanaume aeleze tu vizuri wanaume wenzake tupo nyuma yake
Maisha ushindani na wewe kidume kama hueleweki kukimbiwa ruksa unataka ajikombe kwako kwa lipi wakati hausomewi

Sio kizazi niki cha sasa
 
Hakuna cha kutuangusha wala nini mi naona mwamba katuwakilisha vyema, achague kutoa ATM CARD au ASEPE TU, huwezi fanya kazi mshahara mzima unaupeleka kwa mpigaji mmoja kwa kisingizio cha mchungaji,
Dah...Kama mwamba anapigishwa gem vizuri....na pole/Asante anapewa....Basi akomae atafute pesa zaidi amuongezee mwanamke..... Pesa ya mwanamke haina ladha 🀣🀣🀣🀣🀣
 
My deepest condolences for this ingorance
 
Maisha ushindani na wewe kidume kama hueleweki kukimbiwa ruksa unataka ajikombe kwako kwa lipi wakati hausomewi

Sio kizazi niki cha sasa
Au wewe ndio utakuwa huyo mchungaji anayepokea hizo pesa za mke wa askari magereza?
 
Maisha ushindani na wewe kidume kama hueleweki kukimbiwa ruksa unataka ajikombe kwako kwa lipi wakati hausomewi

Sio kizazi niki cha sasa
Wewe sio smart, nasema tena, nina mashaka na hata taaluma yako. Umejipambanua ni mpumbavu kwa ku attack career ya mtu badala ya hoja yake. Nasema tena, kama wewe ni lekcha nawahurumia mno hao wanafunzi na hako kachuo unakofundisha.

Aisee wamekumbatia mzigo wa mavi bila kujua.
Wewe ni mzigo. Matamshi yako yameshajipambanua, sikuonei kwa hili.

Pole kwa chuo kilichokuajiri
 
Dah...Kama mwamba anapigishwa gem vizuri....na pole/Asante anapewa....Basi akomae atafute pesa zaidi amuongezee mwanamke..... Pesa ya mwanamke haina ladha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ina ladha na mbona tamu tu?!
 
Haya mambo huwa ni magumu sana. Mungu atusaidie tu wababa.
Kukiwa na mke mwenye future mume bomu na kukiwa na mume mwenye future mke bomu, sijui kwanini haysee.
 
Mwanamke hadi mashoga zake Mume unatakiwa uwajuwe ni Marafiki wa aina gani,Kama hawakupendezi tabia zao lazima umshauri mkeo jinsi ya kuaachana nao, Baba ndiyo kichwa lazima ukaguwe sector zote za Mkeo kimyakimya!!
 
Hiyo ni kesi ngumu! Sana sana hapo ni kazi ya baraza la usuluhishi pamoja na Mchungaji wa Kanisa.
Mimi naamini ukiondoa zaka na matoleo mengine si kwamba mke anapeleka mshahara wote Kanisani.
Shida hapo ni mke kuokoka!
 
Mwanamke hadi mashoga zake Mume unatakiwa uwajuwe ni Marafiki wa aina gani,Kama hawakupendezi tabia zao lazima umshauri mkeo jinsi ya kuaachana nao, Baba ndiyo kichwa lazima ukaguwe sector zote za Mkeo kimyakimya!!
Unageuka CIA wapelelezi kila kona kama humuamini mke

Kama humuamini ulimuoa wa nini

Hadi umuwekee wapelelezi kila kona akikuwekea wewe utanusurika?
 
Hiyo ni kesi ngumu! Sana sana hapo ni kazi ya baraza la usuluhishi pamoja na Mchungaji wa Kanisa.
Mimi naamini ukiondoa zaka na matoleo mengine si kwamba mke anapeleka mshahara wote Kanisani.
Shida hapo ni mke kuokoka!
Kanisa katoliki pia lina wajibu linatengeneza Fanatics wa kikatoliki ambao tolerance level kwenye imani za mmojawapo akibadili dini wanakuwa aggressive kama Simba hadi hekima inaondoka wako tayari kufanya vurugu kwa mwenza au aliyebadili dini kwenye family ku mu force arudi ukatoliki kwa nguvu kwa coercive power measures

Huyo mwanaume ni catholic fanatic kakutana kwenye battle group na mlokole Fanatic uso kwa uso! Ni vita kama ya Russia na Ukraine Sababu hakuna aliye tayari kuweka silaha chini.Mwanaume kaomba talaka sababu mke hampi ATM anayotumia kutoa sadaka mwanamke kasema sawa niko tayari kwa talaka ila ATM ninayotolea sadaka sikupi.Ngoma draw kila mmoja fanatic imani yake!.
 
Kwa hiyo mkewe akiwa period anavuna damu amuombe mumewe aliyempa ATM akatoe pesa ampe akanunue pedi ?
Au chupi imechakaa akaombe mpenzi naomba Ukatotoe pesa kwenye ATM yangu chupi imechakaa

Huyo mwanaume mjinga
Wee jamaaa? Sasa hela akale mchungaji?
 
Huwa nampongeza sana kagame kufungia baadhi ya makanisa ya kisanii kama haya. Na akina mama ni waathirika wakubwa sana. Mkaka kajitahidi tena kwa kubeb aibu kuoa mke mwenye u ri mkubwa halafu anazingua. Ndio maana mimi nilioa mama wa nyumbani na maisha yanaenda vizuri sana
 
Hii kesi tamu sana hakimu yaani hadi namuonea wivu atoe judgement ya kihistoria ambayo ita trend hadi media za kimataifa

Afanye research za kutosha

Hukumu yake vyombo vya habari vitaibeba sababu hatujawahi sikia mume anataka ATM ya mkewe na kulalamikia matunzo ya watoto kuwa mume analalamikia mwanamke kutotoa matunzo kwa watoto!! Tumezoea wanawake wakilalamika sio wanaume

Mawakili na Ngo za haki za wanawake na mayawati ya jinsia ya Polisi na DPP msaidieni huyo hakimu ku draft hiyo landmark historical judgement
 
Hahahahaha... wanaume wa siku hizi bana wamekaa kimchongo
Unaona kapendeza .kidume kinaanza ohh sweet I love you my Vodafom or my WhatsApp au mpendwa mimi Mungu kanionyesha usiku nimelala Malaika Gabriel akiongozana na Mungu nyuma yake niliwaona live wakaja wakanionyesha wewe ndie ubavu wangu kumbe anavizia ATM yako umkabidhi
 
Sasa hapo haki sawa ipo wapi, kwenye kupata maslahi kama kazi na ajira mnataka haki sawa lakini linapokuja kwenye majukumu hamtaki kuchangia sasa hizo kazi mnataka za nini?
 
Biblia inasema;
*Mume ni kichwa cha Familia,
*Mke amtii na kumuheshimu mume wake,
*Mke ni msaidizi wa Mume
Hivyo hakimu anatakiwa akazie kwenye hukumu yake huyo mke awe na adabu na kufuata anachoagizwa na mumewe.
 
Mimi siku nikigundua mke wangu kajiunga na walokole, nitamwacha . ila sio kabla ya kumpelekea moto mama mchungaji. Kauzu kauzu 😎😎😎
 
Kuna kutetea haki za wanawake na kuna kutetea ufala, tofauti yake ni ndogo sana unless wewe ni mnufaika wa hizo sadaka, nitakuelewa unatetea ugali wako.
Huyo atakuwa ni miongoni mwa wachungaji matapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…