Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Nim
Nimeishia aliposema aliomba msamaha akamkubalia na hakuomba ridhaa ya mumewe. Hana akili, ni mbwa.

Alikuwa na sababu gani ya kumsamehe wakati aliachwa vibaya? Mtoto alilelewa na mumewe vizuri kabisa, kwa x alitaka malezi gani ambayo hayakupatikana kwa mumewe?

Huyu ni fungu la kukosa, hastahili msamaha. Apigwe chini chap.

Kwa mwanamke mwenye akili, alipaswa kumjibu x wake kuwa mtoto atalelewa na baba wa kambo na kama anamtaka amchukue mbele ya vikao halali vya wazi tena kwa mwongozo wa mumewe na siyo x wake.

Atajutia sana nafasi aliyoichezea. Yamkute tu.
 
Simba leo wamebebwa shenzi fucker 🐷🐷🐷
 
Single
Ma
Single maza lazima huko mbeleni akukeletee mauza uza tuu.
 
Nimetukana tusi kubwa sana!! Yaani huyo mwanamke anamuambia mumewe ampigie x wake ili athibithishe kuwa hawakulala pamoja huko safarini! Pia akiwa safarini anampigia mumewe video call kama uthibitisho kuwa amelala mwenyewe kwenye room,ni namna gani amemuona mumewe fala hadi anamfanyia upuuzi huo wa kumpigia simu!!
 
By nature; mwanamke ni ngumu sana kumtoa kichwani ka moyoni mwake mwanaume aliye kata utepe wake na aliyemfanya kuitwa mama for the first time; ngumu sana
Aisee, wapo wanaosahau halafu hadi mwanaume unajiona hamnazo kabisa.

Kuna dada nilimfanyia hivyo mimi. Alikwenda kuolewa, mwanaume akamchukua na mtoto wake.

Nimembembeleza sana, majibu anayonipa niliamua kuacha tu. Aliniambia kama nataka mtoto nimfuate mumewe kwa kuwa wakati anaolewa alisema atamhudumia hadi atakapoweza kujitegemea.

Mtoto kawa mtu mzima na ameoa, nilipojaribu kujipendekeza alinijibu kuwa ananitambua kama baba lakini nimwache na maisha yake kwakuwa nafasi yangu ilishachukuliwa na baba mwingine.

Nimekaa kimya. Kosa ni langu.
 
Mbona inshu ni nyepesi ,pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Wewe umeshaolewa kwingine ila bado Una ukaribu na mwaume mwingine(sio mmeo) ujasiri huo wakuongozana unatoa wapi?
 
Kinachomuuma huyo mwanaume ni sense ya kuona mwanamke huyo hatii amri yake sababu ye Ex.

Huyu mwanamke anadhani kinachomkera huyo mwanaume ni dhana kuwa amelalwa na Ex, hiyo ni partial reason, lakini reason kuu ni kuona authority yake kama mwanaume imesiginwa, na mwanamke hajali. Anaona kuwa kuna competing authority, kwa hiyo ili kujiondolea stress anaona akae mbali.
 
Kila siku nawaonya kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine ni sawa kwenda kununua ghorofa Gaza, mda wowote anachana mkeka.
 
Nyie wanawake matatizo mengine huwa mnajitafutia! Mumeo kakuta ushsumizwa akaponya jeraha lako! Halafu mwisho wa siku unamwambia usinipangie kwa suala linalohusu mtu aliekuumiza
Mwanamke mwenye akili timamu ni mama mzazi tu tena hiyo ina-apply kwa upande wako sometimes kwa baba yako alikuwa kichomi haijapata kutokea.

Huyo hajaandika yote ungelia machozi,utakuta na chupi anamvulia jamaa analoweka kama hakuna kilichotokea hapo nyuma,hopeless kabisa hii jinsia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…