Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Hiyo ni kwa imani yako, sasa msimamo wa imani yako siyo msimamo wa dunia acha ujinga, kwa imani yangu hakuna mtoto haramu, wala mtoto wa zinaa mtoto ni mtoto tu ilimradi kazaliwa.
Kwa hiyo wewe unaweza kuzaa na mamako, dadako, shangazi yako?
 
Lakini wanaume na sisi ni wapumbavu sana. Mtu ulimshindwa akapata pa.kujistiri na amekuwa mke wa mtu, unahangaika naye nini? Hivi haya mauaji ya wivu wa mapenzi hayatustui?
 
Kwa hiyo wewe unaweza kuzaa na mamako, dadako, shangazi yako?
Kwani huyo bwana katika story yake kasema kazaa na mama yake au dadake au shangazi yake?

Halafu dini yako yenyewe ni matokeo ya mtoto wa nje ya ndoa kwa hiyo nayo ni haramu?

Lakini pia nyie si dini yenu inaruhusu kuoa binamu ,mtoto wa baba mdogo.
 

Mwanaume; Mwanamke hahitaji amani! ukiwa na busara sana huwezi kuishi na mwanamke hasa hawa Wakitanzania. Wanahitaji kashkash na kupigwa matukio ndiyo akili iwakae sawa!

Kama huyu atasimama kwenye mitandao na kusema wanaume wote ni mbwa!! Na atapata wafuasi
 
Ukweli wanawake ni wabinafsi sana; wanaume wana upendo hasa. Imagine una lea mtoto wa mwanaume mwenzio halafu mwanamke wako wala haoni kama kuna jambo lilikua linafanyika. Mwamba ana haki zote za kuomba muachane; wewe bado una uhusiano na X wako
Ngoja sasa mke wa X nae ajue kuwa kumbe wanapelekaga mtoto pamoja!
 
Kuna wanaume wazuri sana ila wanayokutana nayo ndo yanawabadilisha. Kila utendalo wewe dada, mama, mwanamke, binti...ni mbegu. Itazaa tu, iwe kilo moja au kilo mia maana mbegu zinatofautiana. God teach me how to fear you, kama moto upo kuna watu watakuwa kuni kwa staili hii. Kama ni story ya kweli pole kwa huyo kaka, tumemsikitikia wananzengo.
 
https://www.facebook.com/
View: https://web.facebook.com/reel/473221525712495
 
Ngoja sasa mke wa X nae ajue kuwa kumbe wanapelekaga mtoto pamoja!
Ndio wanako elekea sasa though wanawake wasanii sana; kama huyo X ana hela, mkewe hatamuacha; watapigiana kelele za hapa na pale and finally usishangae mkewe akataka huyo mtoto achukuliwe ili wamlee wote. Ogopa sana hawa dada/mama zetu. Kila ushauri anaokupa, kuna HILA ndani yake
 
Umeeleza vizuri mno ila sijaelewa kwanini umemalizia na picha ya tumbili sijui ni nyani, au ndo huyo single mother?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…