Tunapoelekea kizazi cha wazungu kitapungua sana,,kutokana na asilimia kubwa ya wazungu kujarib ushoga, hii imepelekea asilimia kubwa hawana nguvu za kiume mpk wabustiwe,kujibadili jinsia, kuchelewa kuoa mpaka awe na mali, wengine kukataa kuoa kuhofia kufilisiwa pind ndoa ikivunjika,, wanawake zao wengi siku hizi hawataki kuzaa,na wakizaa ni mtoto 1/2 tu,, etc nimeona tweeter/x huko wakilalamika walikua wanaweka takwim zaman na sasa idadi ya wazungu na watu wengine Ulaya hasa Uingereza na ujeruman,,, wahamiaji wanazaa watoto wengi,waarab,wahindi ndio usisemee na weusi,,, kuna mmoja akaweka picha ya muarab aliyehifadhiwa na wanandoa ujeruman ,,comment nying ni mbaya kwamba mumewe anaonekana ni Cuckold* inasikitisha sana,,, ndio mana wanapush agenda yao Africa , Magonjwa ili tupungue maana wanajua baada ya miaka ijayo tutakua wengi !