Mume na Baba wa familia anahitajika

Mume na Baba wa familia anahitajika

The sun is setting, now you are back to your senses. Where are those you used to make fun of when you were in your early and middle 20s??

Uliwakataa kwa sababu hawana swagger za born towns na wanavaa suruali za vitambaa na mashati ya vitenge kama waimba kwaya.

Umeanza kuwa "mshangazi" sasa unasumbua watu.

I wish you all the best though.
 
Baby unakibunda?

Mie kazi yangu mchoma mishikaki kawe kwa mwamposa

We ukitoka kazini nakuchemshia mishikaki u
nakula bure badae unikabidhi nikuendeshe

Upo mtam sana baby 😋😋😋

Njoo inbox
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Miaka yote hiyo 33 mwanmke ulikua wapi kuolewa na kuzaa,...Umekula usichana wako wote sasa unataka ukamsumbue kijana wa watu mwisho uje umuite mgumba wakati ushapiga deki mara kibao.
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Mmmh,,
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Wakora jichanganyeni 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom