Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Umri umenikosesha mke.. kila la kheri mkuuumri kuanzia miaka 33 hadi 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri umenikosesha mke.. kila la kheri mkuuumri kuanzia miaka 33 hadi 40
picha siyo yangu halisiWANAUME HATUPENDI MAWIGI, POLE SANA SANA
Hapa thread inasoma page 3 ila huko pm kwa wifi panasoma notification pm 52.....
Acha tu 😹Umejuaje pm notifications 52? 😎
-Kaveli-
DarUpo mkoa gani
Minimum GPA ni ngapi ? 😏Elimu kuanzia bachelor degree
0Minimum GPA ni ngapi ? 😏
Hata kama siyo yako, nakupa codes; wanaume hatupendagi sijui mawigi, makucha marefu. Kiufupi tukiwaona kwenye mwonekano huo, tunatambua kichwani ni {} set. Mnaonekana kama vituko tupicha siyo yangu halisi
Hivyo vigezo Niko navyo lkn subiri waje tu wenye moyo wa dhati🤔maana Mimi njaa ndio itafanya nikupendeMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Umeshanikatisha tamaa nilijua nimewahi aisee😟Hapa thread inasoma page 3 ila huko pm kwa wifi panasoma notification pm 52.....
Wote waonjaji tuHapa thread inasoma page 3 ila huko pm kwa wifi panasoma notification pm 52.....
Atakuwa ndio mleta mada kwa ID nyingineUmejuaje pm notifications 52? 😎
-Kaveli-
Njoo imbonboMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.