HOP HOPPER
Member
- May 12, 2018
- 65
- 109
Kwenye hizi mbio usiwe mwepesi wa kuamua.Hepuka pia mahusiano shinikizo yasiyokupa muda wa kufanya maamuzi huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda ya ziwa kumechangamka, vigezo vyote ninavyo isipokuwa kimoja tu nacho ni mfupi(mluguru wa Mongwe)Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Ahsante kwa ushauriKwenye hizi mbio usiwe mwepesi wa kuamua.Hepuka pia mahusiano shinikizo yasiyokupa muda wa kufanya maamuzi huru
Nitazingatia hilo👏Huo -umri unabidi kupunguza Vigezo miaka 33 ni mingi Sana kiukweli.
Karibu nimepunguza vigezoKanda ya ziwa kumechangamka, vigezo vyote ninavyo isipokuwa kimoja tu nacho ni mfupi(mluguru wa Mongwe)
Hapana siyo kwa sababu ya kipatoHaujaona imesindikizwa na ..."ajiriwa"...!Maokoto yawe manene.Kwa ufupi asiende muokota chupa barabarani.
AhsanteKama una kazi yako wewe safi.
Nakuombea kila la kheri
Picha ni ya daraja la juu sana hiyo, tegemea kupata applications za onjaonja na dungadungaMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Siyo picha yangu halisi, mimi nipo kawaidaPicha ni ya daraja la juu sana hiyo, tegemea kupata applications za onjaonja na dungadunga
AhsanteWaliokufumua toka ufyatuliwe bikra hakuna mwenye hizo sifa?
AhsanteKila la kheri
Wewe una elimu na umri gani?Siku ukitengua kigezo cha umri na elimu nishtue mkuu
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
WANAUME HATUPENDI MAWIGI, POLE SANA SANAMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Nipo kati ya 25-30, elimu standard 7😂 nimejiajiri na kibunda hapa ndo mahali pake.Wewe una elimu na umri gani?