Mume na Baba wa familia anahitajika

Mume na Baba wa familia anahitajika

Moja ya kigezo kilichokufikisha hapo ni chaguzi.

Kuna vijana wako vizuri na ni wastaarbu ambao wanaweza kuishi na mke, wana biashara zao nzuri. Kiufupi maisha wameyashinda. Ila kigezo cha elimu hawana.
Wamewaajili wasomi unaowataka.

Punguza vigezo. Siku hizi pesa iko kwa wakulima, wafanyabiashara, wafugaji nk
Wanaishi kama wafalme.
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Mali safi kabisa hii....
Je upo tayari kuishi nje ya tanzania?
Mimi degree sina ila pesa ipo...hapo vipi?
Mie nina kibamia na kugegeda vizuri siwezi ila nitakupa ruhusu mara nne kwa mwaka ukaonje de liboloz huko nje.
Kama upo mwake na hayo niambie nije pm
 
UTANI;
Mwanamke miaka 33 kama alianza kuzagamuliwa akiwa 18 YO, maana yake amekuwa single kwa miaka 15. Kama kwa mwaka alikutana na wanaume at least wawili, we muoaji utakuwa wa 31. 😄😄😄
Kwa simple analysis ya namna hii, kama ni engine basi inatakiwa iwe imefanyiwa overall mara 7, tuki- assume kuwa hiyo operation ya moyo inafanyika kila baada ya miaka 2
 
Hakuna mwanaume mwenye 33 hajaoa.
Shuka angalau anzia 27 mpk 30.
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Swali' hujawahi kuachika kwenye ndoa? Halafu naomba upunguze vigezo na masharti. Me nina elimu ya darasa la saba, ila kahela kadogo ka kula kapo. Niko mkoani nina miaka 35
 
Kwa simple analysis ya namna hii, kama ni engine basi inatakiwa iwe imefanyiwa overall mara 7, tuki- assume kuwa hiyo operation ya moyo inafanyika kila baada ya miaka 2
Ni "Overhaul" siyo overall
 
Kuanzia 25_ hadi 30 ulikuwa unafanya nini?

Umeshazeeka halafu unaweka vigezo visivyo na kichwa wala miguu ..

Wewe sema natafuta mume mwenye hofu ya Mungu
 
Back
Top Bottom