Mume na Baba wa familia anahitajika

Mume na Baba wa familia anahitajika

Namtania Mimi na mke wangu..nilimwacha nyuma kidato nilipo maliza university accidentally tukakutana it's just waaoo Mimi sikua na mkumbuka maana wanawake mnasukaga..

Mimi nilikuaga mpole shule na mwenye akili pia form 3 nilichaguliwa kua kiranja (prefect)

Niligombea na jamaa mmoja ivi nilishindwa kwa kura chache kisa sikuaga najulikanaa...wengi baadae walishangaa kumbe ni wewe..nikachaguliwa na uongozi wa shule just surplze...nikawa kiranjaa

Ndipo nikaanza kujulikana secondary
So nilikua namtania Mimi nisha oa na Nina familia
Ahsante kwa kuleta utani kwenye jambo serious
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Singano jr mlete hamza hapa anahitajika
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Njoo PM. Ili tupange tuonane mimi mwenyewe natafuta mke anyway
 
Mimi ni la saba ila ninayo pesa na nimebahatika kuajiri graduate wailing kwenye mradi wangu wa shule,nina watoto ila mama yao alishatangulia mbele za haki,nilitamani kupata mwenza,nahisi unaweza kunifaa pia ila kwenye kigezo chako cha Elimu naona sitafaa tena.
Mimi ni mrefu,mweusi,toka kanda ya ziwa,ila makazi nipo Iringa,mjasialiamali na mchangiaji mzuri wa kodi za serikali,miaka 45,ni baba makini kwani nina uzoefu.Ikikubidi naomba nafasi.
 
Back
Top Bottom