ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Halafu Kuongea siwezi hatahapana nina machozi ya karibu ๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Kuongea siwezi hatahapana nina machozi ya karibu ๐ ๐ ๐ ๐
Ni kweliMiaka 33 ni mzee sana.
Ahsante kwa kuleta utani kwenye jambo seriousNamtania Mimi na mke wangu..nilimwacha nyuma kidato nilipo maliza university accidentally tukakutana it's just waaoo Mimi sikua na mkumbuka maana wanawake mnasukaga..
Mimi nilikuaga mpole shule na mwenye akili pia form 3 nilichaguliwa kua kiranja (prefect)
Niligombea na jamaa mmoja ivi nilishindwa kwa kura chache kisa sikuaga najulikanaa...wengi baadae walishangaa kumbe ni wewe..nikachaguliwa na uongozi wa shule just surplze...nikawa kiranjaa
Ndipo nikaanza kujulikana secondary
So nilikua namtania Mimi nisha oa na Nina familia
Kama unataka watoto wazuri na uwe single mothers ๐ sawaaAhsante kwa kuleta utani kwenye jambo serious
Singano jr mlete hamza hapa anahitajikaMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
SawaHuyu n mm Njoo Pm
Wadada wengine ni wapuuzi kweli,Naomba kujua umuhimu wa degree kwenye ndoa
Mbona haujamalizia๐คฃ๐คฃ๐คฃHapo kizazi kimeshalegea+uti sugu mpaka mimba ishike +mimba kuharibika umeshafikisha 40 kaz kwisha, unacho bakiza kuwatafuta wapaka mkongo na wafanya massag wakukojoze!
Wewe upo kundi lipi hapoWadada wengine ni wapuuzi kweli,
Sasa ww uliona wapi Mwanaume Muoaji ana degree ๐
=> Muoaji ana cheti Cha kuzaliwa tu...
Tena hatahicho ni kwamsaada wa wazazi wake.
Me mwenyewe Ni mpuuzi tu๐๐๐cjui hata Nipo kundi lipi Haki ya Mungu ๐Wewe upo kundi lipi hapo
Akiwa na pid ni mwendo wa bedrest kazi juu ya kazi?Mbona haujamalizia๐คฃ๐คฃ๐คฃ
....." Maanina ".
Ushindwe katika jina la YesuAkiwa na pid ni mwendo wa bedrest kazi juu ya kazi?
๐๐Me mwenyewe Ni mpuuzi tu๐๐๐cjui hata Nipo kundi lipi Haki ya Mungu ๐
Kipato mzeee kama ni muajiliwA kwa kada ya degree ina mana una wadhifaNaomba kujua umuhimu wa degree kwenye ndoa
Njoo PM. Ili tupange tuonane mimi mwenyewe natafuta mke anywayMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Hii inarahisisha mawasiliano naona ya wanandoa.Naomba kujua umuhimu wa degree kwenye ndoa
Ni kweli, ahsanteHii inarahisisha mawasiliano naona ya wanandoa.
Assumption- mwenye degree anaweza kuchambua na kuelewa mambo ki rahisi.