Gratefulheart
Member
- Dec 14, 2024
- 43
- 51
- Thread starter
- #141
Siyo kwa sababu ya kipato, ila inapunguza inferiority complexKipato mzeee kama ni muajiliwA kwa kada ya degree ina mana una wadhifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwa sababu ya kipato, ila inapunguza inferiority complexKipato mzeee kama ni muajiliwA kwa kada ya degree ina mana una wadhifa
Ujapata nicheki pm mke wangu.Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Miaka 33 unataka uolewe na wa miaka 40 kwa kigezo gani?Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Wakora kama wakoraWakora jichanganyeni 😂😂😂😂😂
Haufanani hata robo na huyu aliepo kwenye pichaNimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Sasa unambishia mwenyewe?Haufanani hata robo na huyu aliepo kwenye picha
🤣🤣🤣🤣 Oya habari za states?Kipengele Degree na kazi.. maana nipo jobless ninae pambana kupata maisha
Kila mwanaume linamkataa halafu lenyewe ni jeusi tiii chura hana eti linataka mwanaume mweupe mzungu mwarabuWakora kama wakora
Nimemuona alivyo sio kwamba nambishia huyo kwenye picha hafanani nae hata robo sasa wewe ingia kichwa kichwa ukalimwe kichwaSasa unambishia mwenyewe?
Eh!!,nilitaka niingie kwenye mfumo 😉😉Nimemuona alivyo sio kwamba nambishia huyo kwenye picha hafanani nae hata robo sasa wewe ingia kichwa kichwa ukalimwe kichwa
33 elewa 33 unataka mwanaume mweupeeeee km albinoEh!!,nilitaka niingie kwenye mfumo 😉😉
Borw huyu mtu mzima hawa watoto siwawezi
33 anataka mwanaume mweupeeee yeye mwenyewe sasa mweusiiiiiBorw huyu mtu mzima hawa watoto siwawezi
🤣🤣🤣🤣33 anataka mwanaume mweupeeee yeye mwenyewe sasa mweusiiiii
Yass unatoa?Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Heri ya mwaka mpya! Umeshapata? Kama Bado njoo pm .Kuna mtu wa Kahama apa.Siyo kwa sababu ya kipato, ila inapunguza inferiority complex