Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh bango lina masharti kibao sasa izo digrii mara urefu ndio zitazokupa mimba au? hovyo.bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu
😂😂😂😂😂Nipo kati ya 25-30, elimu standard 7😂 nimejiajiri na kibunda hapa ndo mahali pake.
Ahsante kwa kucommentduh bango lina masharti kibao sasa izo digrii mara urefu ndio zitazokupa mimba au? hovyo.
Duh! Kwann umewaongopea Wana jfpicha siyo yangu halisi
😒Sifa zote ninazo.
Je wewe una bikra zote?
Kwa maana ya mbele na nyuma?
NIko hapa Mama watotoMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Awe na Degree ya Ndoa au Mahusiano labdaMungu akupe sawa sawa na haja ya moyo wako but naomba kuuliza , Degree yake itasaidia Nini kwenye ndoa ?😀😀😀
Degree zote hapo ni sawa tuAwe na Degree ya Ndoa au Mahusiano labda
Ndoa ni zaidi ya shapeShape iko vizuri, utapata hitaji la moyo wako.
Nimeondoa vigezo vyote33 yrs bado una vigezo!!!??? Aya
Thank you for your wishesThe sun is setting, now you are back to your senses. Where are those you used to make fun of when you were in your early and middle 20s??
Uliwakataa kwa sababu hawana swagger za born towns na wanavaa suruali za vitambaa na mashati ya vitenge kama waimba kwaya.
Umeanza kuwa "mshangazi" sasa unasumbua watu.
I wish you all the best though.
Hapana siwezi😀 ,hadi imenibidi nicheke tuMzee mwenzangu kama kiuno inauwezo wa kuzunguka kama feni karibu tuyajenge😎.
Nitumie picha yako halisi PM haraka ili nikutathmini. Na ujitahidi kabla mjukuu wangu hajanishtukia. Nataka nimpige bibi yake tukio la mwaka.Hapana siwezi😀 ,hadi imenibidi nicheke tu
AhsanteNitumie picha yako halisi PM haraka ili nikutathmini. Na ujitahidi kabla mjukuu wangu hajanishtukia. Nataka nimpige bibi yake tukio la mwaka.