Mume na Baba wa familia anahitajika

Mume na Baba wa familia anahitajika

Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Rekebisha kigezo cha Elimu, sidhani kama Bachelor degree ina umuhimu kwnye ndoa
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Yaani una muonekano sawa na huyo dada pichani alafu hadi unaturn 33 hujapata mwenza wa kueleweka?

Wewe utakua ni bomb tu. Jichunguze Kwanza.

Anyway sisi wanaume hatuchagui hatubagui ngoja waje wenye vigezo.
 
Yaani una muonekano sawa na huyo dada pichani alafu hadi unaturn 33 hujapata mwenza wa kueleweka?

Wewe utakua ni bomb tu. Jichunguze Kwanza.

Anyway sisi wanaume hatuchagui hatubagui ngoja waje wenye vigezo.
Nimejichunguza ni kweli mimi ni nuclear bomb 💣 una ushauri wowote after?
 
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Ngoja niwanie nafasi kwenye hili Jimbo lililo wazi naomba kuwasilisha.
 
😁😁😁😁😁 siku hizi umechangamka sana braza


haupo hivi
Namtania Mimi na mke wangu..nilimwacha nyuma kidato nilipo maliza university accidentally tukakutana it's just waaoo Mimi sikua na mkumbuka maana wanawake mnasukaga..

Mimi nilikuaga mpole shule na mwenye akili pia form 3 nilichaguliwa kua kiranja (prefect)

Niligombea na jamaa mmoja ivi nilishindwa kwa kura chache kisa sikuaga najulikanaa...wengi baadae walishangaa kumbe ni wewe..nikachaguliwa na uongozi wa shule just surplze...nikawa kiranjaa

Ndipo nikaanza kujulikana secondary
So nilikua namtania Mimi nisha oa na Nina familia
 
Back
Top Bottom