Gratefulheart
Member
- Dec 14, 2024
- 43
- 51
- Thread starter
- #101
AhsanteKuanzia 25_ hadi 30 ulikuwa unafanya nini?
Umeshazeeka halafu unaweka vigezo visivyo na kichwa wala miguu ..
Wewe sema natafuta mume mwenye hofu ya Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteKuanzia 25_ hadi 30 ulikuwa unafanya nini?
Umeshazeeka halafu unaweka vigezo visivyo na kichwa wala miguu ..
Wewe sema natafuta mume mwenye hofu ya Mungu
still looking?Ahsante
Rekebisha kigezo cha Elimu, sidhani kama Bachelor degree ina umuhimu kwnye ndoaMwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Yaani una muonekano sawa na huyo dada pichani alafu hadi unaturn 33 hujapata mwenza wa kueleweka?Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
Nimejichunguza ni kweli mimi ni nuclear bomb 💣 una ushauri wowote after?Yaani una muonekano sawa na huyo dada pichani alafu hadi unaturn 33 hujapata mwenza wa kueleweka?
Wewe utakua ni bomb tu. Jichunguze Kwanza.
Anyway sisi wanaume hatuchagui hatubagui ngoja waje wenye vigezo.
Yes, karibustill looking?
Huyu n mm Njoo PmNisaidie kumtengeneza wewe kama huyo uliemtengeza
Ngoja niwanie nafasi kwenye hili Jimbo lililo wazi naomba kuwasilisha.Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo.
umri kuanzia miaka 33 hadi 40
awe Mkristo
Elimu kuanzia bachelor degree na....
awe ameajiriwa/kujiajiri
kama hana mtoto au anaye ni sawa
awe mrefu.
Mimi
miaka 33,mkristo,sina mtoto
Elimu: shahada 1
nafanya kazi,makazi Dar
ni mrefu, asili kanda ya ziwa
Nimeambatanisha picha siyo yangu halisi ila inaelekeana kidogo na jinsi nilivyo mwili,rangi mweusi kidogo na urefu.
Kama unafit karibu.
😁😁😁😁😁 siku hizi umechangamka sana brazaNgoja niwanie nafasi kwenye hili Jimbo lililo wazi naomba kuwasilisha.
Mtoto wa pili ashagonga 38yrsMiaka 33 ni mzee sana.
Namtania Mimi na mke wangu..nilimwacha nyuma kidato nilipo maliza university accidentally tukakutana it's just waaoo Mimi sikua na mkumbuka maana wanawake mnasukaga..😁😁😁😁😁 siku hizi umechangamka sana braza
haupo hivi
hapana nina machozi ya karibu 😅😅😅😅Kua wifi yangu basi
... asili kanda ya ziwa
😂Kanda ya ziwa kumechangamka, vigezo vyote ninavyo isipokuwa kimoja tu nacho ni mfupi(mluguru wa Mongwe)