Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Sasa ni nini kinawasukuma kuwabebea hadi mimba😀 kama ni makapukuNa sio kweli eti waume za watu wote wana pesa wengine ni walewale papatu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni nini kinawasukuma kuwabebea hadi mimba😀 kama ni makapukuNa sio kweli eti waume za watu wote wana pesa wengine ni walewale papatu tu
Evelyn Salt 😃😃😃Wanao date nao wanatambua hilo. Akupende ili iweje? Hapo ni nipe nikupe
Sawa kabisa, anayetaka mume awe wa kwake amtolee mahari...Kuna mke wa mtu, sio mume wa mtu ndiomana wanatulipia mahari! Kitu chochote unachomiliki umekilipia
Huwa wanajua na hawawezi kukataa, na hiyo ni kwa wanawake wote........wanajua kabisa hao jamaa wanaowatokea wana wake au mademu wengine, ila wanajali interest zao tu.Kuna jambo muhimu nikwambie, hapa macho mengi. Hawajui hizi mambo. BTW, unatumia vigezo gani kujua mwanaume aliyekutokea ni mume wa mtu? Au ndio mpaka mshamalizana kila kitu ndio unajua.. Maana sio wote wanapenda kutanguliza status za ndoa mbele kabla ya utamu.
hakuna mume wa mtuy, sisi ni wa woteKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Tafuta wa kwako umfanye awe bora, unataka vya wenzio ambavyo wametolea jashoKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Kuna uwezekano kapigwa chini na huyo anayedai mume wa mtu anataka ku-generalize, maana kama ni kupigwa chini hata wasio na wake watakupiga chini ukizingua.hakuna mume wa mtuy, sisi ni wa wote
kama umeachwa ni tabia yako imesababisha uachike, usimlaum aliyekuacha.
umbo la nje lilimvutia akakuelewa, mlivoanza mchakato, akagundua madhaifu katika tabia zako akakupiga chini
hata ukichukuliwa na hao papatu papatu watakuacha pia
angalia tabia zako toward men , ikiwezekana muulize aliyekuacha akupe sababu
Duh nimecheka,eti papatu papatu.....Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
🤔MmMMke ndo anakuwa wa mtu, mwanaume hana limit ya idadi ya wanawake........chukulia mfano wa mfalme suleiman aliyekuwa na wanawake na michepuko 700, tuambie mwenye mme alikuwa ni nani hasa....
Ehh papatu papatu tena...!!Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
AiseeeeMume wa mtu ana mapenzi vizuri tu na ndo maana wengi wanawajengea na kuwalelea vitoto vyenu vya siri. 🤣
Labda ni kama peresu peresu ya mandonga..Ehh papatu papatu tena...!!
papatu papatu wakiwapapatua kisha wakawatelekeza mnaanza kupapatika na kulialia kisha mnawarudia waume za watuKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Mwanaume hana hulka ya kumilikiwa, yeye anamiliki.🤔MmM
Sio sawa cariha, Kuna watoto kule ujue cariha, kama ukitongozwa tu basi kataaMume wa mtu wa kumchuna Hadi damu na hamna huruma usiwekeze hisia kwake
Sema 'mimi' sio 'sisi'Kwa Niaba ya sisi waume za watu tunaochepuka.
Sisi ni kweli hatuwezi Kuoa Wanawake wa pembeni.
Ila tunaweza kuzaa nao, tukawahudumia, tukasomesha watoto Wetu .
Lkn kubwa zaidi, sisi tunakuaga Washikaji, marafiki wazuri katika shida na rahaa
Ila Kuna wanawake Wana moyo..Sasa ni nini kinawasukuma kuwabebea hadi mimba😀 kama ni makapuku
🤣🤣🤣papatu papatu wakiwapapatua kisha wakawatelekeza mnaanza kulia na kuwarudia waume za watu
Ewaa kumbe unalijua hilo, basi msilaumu sasa, na wala msifikiri kwamba mtaumbiwa wanawake wengine ni hao hao ndio wapoHivi huwa tuna baka?
Mnajilengesha tunamalizia bola hiyana