Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Mimi sijaongelea hizo issue sijui za pastor,kwanza hata sielewi huo upastor unapatikanaje,mimi ni wa upande wa pili ila nikiona mtu amebadilika kutoka kwenye uovu na kuingia kwenye wema,nitamsapoti tu kwa hatua hiyo iliyoichukua.
 
Nenda kaombewe mapepo yatoke yateketeee
Wewe baba Kisari,
Imani yako itakuponya mapepo yataondoka
Tena ukienda kuombewa akikushika tu unakuwa hoi bin taaban
Hili kanisa litakaa kina baba wengi sana/wanaume
 
Sijaongelea kuhusu watu watakaoenda huko Kanisani ila huenda kuna watu wakamuona amebadilika yeye kama yeye kisha nao wakafuata njia njema aliyoichagua,hayo ya nyuma ya pazia hata wewe huyajui,tumuachie mwenyewe muhusika hayo ya nyuma ya pazia,

Bila shaka hata wewe unayo yako ya nyuma ya pazia,kila binadamu ana mapungufu yake,

Counting other people's sins does not make you a Saint.
 
hataki kuwa mnafiki, anataka watu waone alikotoka, alipo na anakotaka kwenda,
Mtume Paulo aliyafanya kuwa vinyesi yale mabaya yote yaliyopita.

Sasa huyu mshangazi bado kaweka mapicha yake ya nusu uchi kule mitandaoni, kuna pastor hapo, au kuna mtu kabadilika hapo.

Irene ni kahaba aliyekuja kwa vazi la uchungaji kuboresha biashara yake ya ukahaba na ndio maana hajafuta picha zake za zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…