Huko mnapowafatilia mnashindwa nini kuwauliza hayo maswali..?Huwa hatuwafuatilii bali wao wenyewe huomba tuwafollow na ndipo huko sasa hukutana na vituko vyao π
Wewe ni mgeni hapa?Huko mnapowafatilia mnashindwa nini kuwauliza hayo maswali..?
Taarifa binafsi za mtu kuziulizia haijakaa sawa, hata wewe ukifanyiwa hivyo hautapenda.
Unaongelea kuhusu manzi robot au manzi og?Ki picha picha hii manzi ni nzuri sana ila naamini akiwa Off dress sidhani kama unaweza tamani rudia mara mbili.
waliopita wanakuambia ni mtamu halafu sio mchoyo, wewe tu na sound zako.Nnje ya Mada
Mwanamke Mwenye Nyama Nyama ni mzuri wapendwa katika Bwana.
Mwanamke anaejua kujiweka ki sexy sexy mtamu sana watu wa Mungu..
Ki picha picha hii manzi ni nzuri sana ila naamini akiwa Off dress sidhani kama unaweza tamani rudia mara mbili.
My mom is no moreSasa Bob Risky kaingiaje hapa jamani? [emoji23][emoji23][emoji23]
siamini, wasingemuachawaliopita wanakuambia ni mtamu halafu sio mchoyo, wewe tu na sound zako.
Huyo ndio pastor anayefaa kuhudumia jinsia meImani yako mkuu, unaenda unapona,,..tena hilo kanisa litakaa kijinsia me sana
Uigizaji ni kipaji kizuri sana, huwezi lala NJAA, maana kondoo wanazidi kimiminika na sadaka,Never judge people by their past,
people learn,people change,
people move on.
Wewe jamaa huendi mbinguni π€£Wanamiminika kumuona kitimoto aliejigeuza kondoo!
Chama la wana huyo.Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.
Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.
Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.
Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.
Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?
Utatoboka shauri yako wewe shupaza shingo ya hapo CHINI TUHuyo ndio pastor anayefaa kuhudumia jinsia me
Yalipopita SIO ndweleUigizaji ni kipaji kizuri sana, huwezi lala NJAA, maana kondoo wanazidi kimiminika na sadaka,
Si kwamba wanapenda kusikiliza neno! La hasha
Wanamiminika kumuona kitimoto aliejigeuza kondoo!
Mkuu dhambi nyingi tunasababishiwa na hawa viumbe dadeki.Utatoboka shauri yako wewe shupaza shingo ya hapo CHINI TU
Hivi huyu manzi kweli ameungua, mkuu?Chama la wana huyo.
Maokoto yako tu simu moja imoo...Ila ni Kazeze ni kazeze ni Kazeze HTT 132KVA.
Mbona dogo janja hakutoboka?Nakusisitiza Irene ana Nyota ya MSHALE kua makini kijana utatoboka