GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,241
- 3,800
Kuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu.
Ukiangalia movement ambazo Mungu ameanzisha ili aweze kujitangaza na kumpiga vita Ibilisi ni nyingi sana ukilinganisha na zile ambazo Ibilisi anazitumia kujitangaza na kumpiga vita Mungu.
Mungu alishafanya kafara nyingi sana ili aweze kupambana na Ibilisi lakini wapi Ibilisi bado anadunda tu. Mfano ilifikia hatua Mungu aliteketeza watu wa Nuhu na aliteketeza watu wa Sodoma na Gomora ili liwe fundisho kwa watu wengine ili waachane na Ibilisi ila mission ilifeli vibaya sana ndio kwanza Ibilisi anazidi kupeta tu.
Mitume kibao wameletwa ili wapambane na Ibilisi ila hakuna hata mmoja aliyefanikiwa wote walifeli vibaya sana na Ibilisi bado anadunda vizuri tu.
Mungu alishatuma vitabu kibao vije duniani kupambana na Ibilisi. Mfano wa vitabu nivyo ni:-
i/The Bible kwa wakristo
ii/The Vedas,The Upanishads, The Mahabharata na The Ramayana kwa Hinduism.
iii/ The Qur'an kwa waislam.
iv/ The Jaina Sutras kwa Jainism
v/ The Law and The Prophets, The Psalms na The Talmud kwa Judaism.
vi/The Katab-l-Aqdas, na The Katab-l-Iqan kwa Baha'i Faith.
vii/The Kojiki na The Nihongi kwa washinto.
viii/The Shri Guru Granth Sahib kwa Sikhism.
ix/ The Toa-te-Ching kwa Taoism.
x The Zend Avesta na Pahlavi Text kwa Zoroastrianism.
Pamoja na vitabu vyote hivi vinavyompinga Ibilisi (evils) katika kila jamii lakini bado Ibilisi yupo na anadunda tu.
Mpaka mwisho wa siku Mungu akaamua kuja yeye mwenyewe dunia kwa umbo la binadami kuja kupambana na Ibilisi kilichompata nadhani tunakijua. Aliishia kutundikwa msarabani na kufa palepale. Na ikabidi waibuke watetezi na kusema yule hakuwa yeye bali ni mwanae na watetezi wengine wakasema alifufuka siku ya tatu na akapaa ipo siku atarudi.
Mission zote na harakati zote zilizoletwa na Mungu kwa lengo la kupambana na Ibilisi zilifeli totally. Hakuna hata moja iliyofanikiwa ndio maana mpaka leo Ibilisi yupo na anadunda vizuri tu.
Sasa sijui hali ingekuwaje kwa Mungu kama na Ibilisi nayeye angeamua kuwekeza kwa namna hii ili apambane na Mungu?
Ibilisi anapata wapi nguvu hizo za kupambana na na Mungu kwa kiasi hicho?
Daaah kuna Mungu na Ibilisi kweli?
Au ndiyo tuamini kwamba washauri wa Mungu (Malaika) hawamshauri vizuri namna gani ya kupambana na Ibilisi?
Ukiangalia movement ambazo Mungu ameanzisha ili aweze kujitangaza na kumpiga vita Ibilisi ni nyingi sana ukilinganisha na zile ambazo Ibilisi anazitumia kujitangaza na kumpiga vita Mungu.
Mungu alishafanya kafara nyingi sana ili aweze kupambana na Ibilisi lakini wapi Ibilisi bado anadunda tu. Mfano ilifikia hatua Mungu aliteketeza watu wa Nuhu na aliteketeza watu wa Sodoma na Gomora ili liwe fundisho kwa watu wengine ili waachane na Ibilisi ila mission ilifeli vibaya sana ndio kwanza Ibilisi anazidi kupeta tu.
Mitume kibao wameletwa ili wapambane na Ibilisi ila hakuna hata mmoja aliyefanikiwa wote walifeli vibaya sana na Ibilisi bado anadunda vizuri tu.
Mungu alishatuma vitabu kibao vije duniani kupambana na Ibilisi. Mfano wa vitabu nivyo ni:-
i/The Bible kwa wakristo
ii/The Vedas,The Upanishads, The Mahabharata na The Ramayana kwa Hinduism.
iii/ The Qur'an kwa waislam.
iv/ The Jaina Sutras kwa Jainism
v/ The Law and The Prophets, The Psalms na The Talmud kwa Judaism.
vi/The Katab-l-Aqdas, na The Katab-l-Iqan kwa Baha'i Faith.
vii/The Kojiki na The Nihongi kwa washinto.
viii/The Shri Guru Granth Sahib kwa Sikhism.
ix/ The Toa-te-Ching kwa Taoism.
x The Zend Avesta na Pahlavi Text kwa Zoroastrianism.
Pamoja na vitabu vyote hivi vinavyompinga Ibilisi (evils) katika kila jamii lakini bado Ibilisi yupo na anadunda tu.
Mpaka mwisho wa siku Mungu akaamua kuja yeye mwenyewe dunia kwa umbo la binadami kuja kupambana na Ibilisi kilichompata nadhani tunakijua. Aliishia kutundikwa msarabani na kufa palepale. Na ikabidi waibuke watetezi na kusema yule hakuwa yeye bali ni mwanae na watetezi wengine wakasema alifufuka siku ya tatu na akapaa ipo siku atarudi.
Mission zote na harakati zote zilizoletwa na Mungu kwa lengo la kupambana na Ibilisi zilifeli totally. Hakuna hata moja iliyofanikiwa ndio maana mpaka leo Ibilisi yupo na anadunda vizuri tu.
Sasa sijui hali ingekuwaje kwa Mungu kama na Ibilisi nayeye angeamua kuwekeza kwa namna hii ili apambane na Mungu?
Ibilisi anapata wapi nguvu hizo za kupambana na na Mungu kwa kiasi hicho?
Daaah kuna Mungu na Ibilisi kweli?
Au ndiyo tuamini kwamba washauri wa Mungu (Malaika) hawamshauri vizuri namna gani ya kupambana na Ibilisi?