Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Mungu amemuacha dhaifu(Shetani) atambe. Wamegawana vipindi. Shetani anashinda Ulimwenguni, anakura hasara Mbinguni(Ulimwengu ujao). Mungu anatoa Sare Ulimwenguni, anakabidhi ushindi Mbinguni. Mungu ndiye anaeruhusu huo ushindi unaouona kwa shetani hapa duniani.
ameshindwa kushinda kote? mpaka akashinde kwenye ulimwengu wa kusadikika wakati mwenzake anamkimbiza kwenye ulimwengu halisi
 
Mungu ni timeless, alikuepo kabla hajaumba muda, zama au nyakati. Hana pupa wala haraka, anajua mwisho kila kitu kipo katika umiliki wake.



Shet'ani atasema baada ya kutolewa hukumu "Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamuwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu." Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu.

Quran; Surah Ibrahim (14): Ayah 22.
Usipende kutumia mifano ya Qur'an kwani kile si kitabu cha Mungu. Usipende kukariri tu vitu bila kujuwa ukweli.....tumia akili zako mwenyewe kufikiri, hicho ni kipaji ulichopewa. Naomba nikuulize, nani aliyemuumba Mungu? Tafakari hili kabla ya kujibu.
 
Wewe ni mjinga usiye na ufahamu
Mungu alishamshinda ibilisi siku nyingi sana ndio maana upo
Wala hashindani nae Tena
Ni suala la Shetani kukimbia akiona Mungu Yuko mahali.
 
Usipende kutumia mifano ya Qur'an kwani kile si kitabu cha Mungu. Usipende kukariri tu vitu bila kujuwa ukweli.....tumia akili zako mwenyewe kufikiri, hicho ni kipaji ulichopewa. Naomba nikuulize, nani aliyemuumba Mungu? Tafakari hili kabla ya kujibu.
Akiumbwa hawezi kuwa Mungu.

Anaeumbwa ni kiumbe. Mungu ni Muumba.
 
Elements za uhayawani at its best,
Mungu wangu hadhihakiwi,
Kwanza wewe sio muamini,
Kwa sisi waamini IPO hivi;
Malaika shetani alitupwa duniani baada ya kuasi, hivyo basi yeye ndie mtawala wa ulimwengu huu; ndio maana mungu wetu anatuambia "chagueni hivi Leo ni nani mtakaemtumikia" akitambua Kuna utawala wa Giza pia.

Ukifika paradiso Kule hakuna purukushani Yani utatiishwa Tu utakuwa unasifu na kuabudu.

Dunia ni ya shetani ni ngumu sana kupambana na mambo ya Dunia ila katika yeye tunatiwa nguvu;

Ni rahisi kukesha club ukicheza mziko kuliko kukesha kanisani ukisali.

Dunia ni ya Wana wa Giza,

Sas endelea kumlingansha Mungu kuwa anafanya kazi kubwa kumshinda shetani;

Nakuombea utangulie ukakutane nae utuletee majibu
 
Elements za uhayawani at its best,
Mungu wangu hadhihakiwi,
Kwanza wewe sio muamini,
Kwa sisi waamini IPO hivi;
Malaika shetani alitupwa duniani baada ya kuasi, hivyo basi yeye ndie mtawala wa ulimwengu huu; ndio maana mungu wetu anatuambia "chagueni hivi Leo ni nani mtakaemtumikia" akitambua Kuna utawala wa Giza pia.

Ukifika paradiso Kule hakuna purukushani Yani utatiishwa Tu utakuwa unasifu na kuabudu.

Dunia ni ya shetani ni ngumu sana kupambana na mambo ya Dunia ila katika yeye tunatiwa nguvu;

Ni rahisi kukesha club ukicheza mziko kuliko kukesha kanisani ukisali.

Dunia ni ya Wana wa Giza,

Sas endelea kumlingansha Mungu kuwa anafanya kazi kubwa kumshinda shetani;

Nakuombea utangulie ukakutane nae utuletee majibu
Vipi kama Sasa shetani amepata msamaha Kwa Mungu, najua tunafundishwa ameshahukumiwa. Swali ni tuwe na imani Gani kama Mungu na shetani wamepatana?
 
Kwani watu wengi duniani wanaendeshwa Na Mungu au shetani?

Mfano nyimbo Za gospel Na Za bongo fleva zipi zinabamba?
Kuzini Na kuoa kipi kinabamba?
Meza ya bwana Na Meza ya pombe ipi inabamba?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] halafu anasema shetani Hana chake ,, yaani shetani inaonyesha kabisa amemzidi nguvu mungu wao Wa mchongo .. mbaya zaidi malalamiko Yana muhusu shetani yameegemea upande mmoja kutwa kucha shetani anasemwa na kulaaniwa lakini shetani huyo hajawahi kupewa hata nafasi ya kujitetea ili walau tupate kusikia mawazo toka kwake kuwa ilikuwaje kuwaje mpaka akagombana na huyo mungu

Yaani maelezo ya kuhusu ubaya wa shetani Ni maelezo ya upande mmoja halafu tumelazimishwa kuamini kinacho zungumzwa toka ktk huo upande mmoja

Wtf [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji848]
 
Kuna siku nilikua nipo kwenye kikao cha mirathi (wote waislamu) sasa kuna vipengele vikaleta ugumu kidogo

1. Mtoto wa kiume kupata zaidi ya mtoto wa kike
2. Mtoto wa nje ya ndoa kutopewa urithi
3. Mjukuu asipate urithi kwa sababu mzazi wake alikimbia mirathi ( mzazi wa mjukuu alikufa kabla ya babu)

Sasa kwa sababu kwenye familia kulikua na watoto ambao baadhi yao hivyo vipengele hapo juu vinawabana na vikifuatwa baadhi hawatopata kabisa mirathi,mgogoro ukaanza.

Njia pekee ya kuleta amani ilikua ni kuachana na sheria za dini.

Hivyo dini ikawekwa pembeni watu wakagawana sawa kwa sawa na amani ikawepo .

Hapo ndipo nilipogundua hizi dini tunalazimishwa tu lkn wakati mwingine hatuzihitaji.

Je hapo napo shetani alishinda?[emoji2297]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cha kushangaza mungu vs shetani tangu nmezaliwa sikuwahi kuwasikia wakisema woote wanasemewa tu..
Ujinga mzigo wa kuni yaaniiiiiii mtu unatishwa na maandishi,maandishi jaman enheeee.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom