Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

NATURE ndio inaongoza hii dunia,,, hii ipo automatic hata usipofundishwa yenyewe ipo...

PAKA au MBWA wakiwa hawajaiba au kudokoa chochote utawaona hawana shida wanakuwa karibu na sisi,,, BUT wakidokoa nyama ukiingia tu utaona wanakimbia...

Nani aliwafundisha kuwa kuiba ni kosa???
 
Kila mtu angebaki tu na anachoamini,,, at the end of the day huenda tukafahamu
 
Mungu hajawahi kuwa na mission ya kummaliza shetani, mission zote ziikuwa na lengo la kuwaokoa binadamu, hata matukio ya moto na maji ilikuwa ni ghadhabu ya Mungu juu ya uovu wa binadamu na sio uovu wa shetani, ujio wa Yesu ulikuwa kuwakomboa wanadamu na kuwapa nguvu ya kumshinda mwovu, kwaiyo hakuna mahali shetani amedunda tu kwa kumshinda Mungu.
Kuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu.

Ukiangalia movement ambazo Mungu ameanzisha ili aweze kujitangaza na kumpiga vita Ibilisi ni nyingi sana ukilinganisha na zile ambazo Ibilisi anazitumia kujitangaza na kumpiga vita Mungu.

Mungu alishafanya kafara nyingi sana ili aweze kupambana na Ibilisi lakini wapi Ibilisi bado anadunda tu. Mfano ilifikia hatua Mungu aliteketeza watu wa Nuhu na aliteketeza watu wa Sodoma na Gomora ili liwe fundisho kwa watu wengine ili waachane na Ibilisi ila mission ilifeli vibaya sana ndio kwanza Ibilisi anazidi kupeta tu.

Mitume kibao wameletwa ili wapambane na Ibilisi ila hakuna hata mmoja aliyefanikiwa wote walifeli vibaya sana na Ibilisi bado anadunda vizuri tu.

Mungu alishatuma vitabu kibao vije duniani kupambana na Ibilisi. Mfano wa vitabu nivyo ni:-
i/The Bible kwa wakristo
ii/The Vedas,The Upanishads, The Mahabharata na The Ramayana kwa Hinduism.
iii/ The Qur'an kwa waislam.
iv/ The Jaina Sutras kwa Jainism
v/ The Law and The Prophets, The Psalms na The Talmud kwa Judaism.
vi/The Katab-l-Aqdas, na The Katab-l-Iqan kwa Baha'i Faith.
vii/The Kojiki na The Nihongi kwa washinto.
viii/The Shri Guru Granth Sahib kwa Sikhism.
ix/ The Toa-te-Ching kwa Taoism.
x The Zend Avesta na Pahlavi Text kwa Zoroastrianism.

Pamoja na vitabu vyote hivi vinavyompinga Ibilisi (evils) katika kila jamii lakini bado Ibilisi yupo na anadunda tu.

Mpaka mwisho wa siku Mungu akaamua kuja yeye mwenyewe dunia kwa umbo la binadami kuja kupambana na Ibilisi kilichompata nadhani tunakijua. Aliishia kutundikwa msarabani na kufa palepale. Na ikabidi waibuke watetezi na kusema yule hakuwa yeye bali ni mwanae na watetezi wengine wakasema alifufuka siku ya tatu na akapaa ipo siku atarudi.

Mission zote na harakati zote zilizoletwa na Mungu kwa lengo la kupambana na Ibilisi zilifeli totally. Hakuna hata moja iliyofanikiwa ndio maana mpaka leo Ibilisi yupo na anadunda vizuri tu.

Sasa sijui hali ingekuwaje kwa Mungu kama na Ibilisi nayeye angeamua kuwekeza kwa namna hii ili apambane na Mungu?

Ibilisi anapata wapi nguvu hizo za kupambana na na Mungu kwa kiasi hicho?

Daaah kuna Mungu na Ibilisi kweli?

Au ndiyo tuamini kwamba washauri wa Mungu (Malaika) hawamshauri vizuri namna gani ya kupambana na Ibilisi?
 
Mtoa mada ni mjinga Sana, ingawa kuwa mjinga sio dhambi. Msaidieni apone huyu jamaa bado muda anao...
 
Kwani watu wengi duniani wanaendeshwa Na Mungu au shetani?

Mfano nyimbo Za gospel Na Za bongo fleva zipi zinabamba?
Kuzini Na kuoa kipi kinabamba?
Meza ya bwana Na Meza ya pombe ipi inabamba?
Ivyo vyote ulivyo orodhesha hapo, hakuna Cha mungu hapo ndugu yangu.
Vyote Ni vya yule mwovu
Vyote vyote nivya ibilisi.
 
Sometimes najiuliza kama shetani kafukuzwa huko mbinguni Kwa vita kubwa sana, je, ndo atakubali kuchomwa moto milele baada ya kiama, maana yake Hadi sasa bado tunahubiriwa anaendelea kuleta maovu Kwa wanadamu, it means nguvu bado anazo. Na hapo fikiria ataungana na binadamu wenye dhambi ambao ni wengi kuliko watakatifu
Malaika wapo wenye nguvu zaidi yake mkuu
Na ndio walio mfukuza.
Na kilicho sababisha afukuzwe Ni tamaa, alishindwa kuzibiti tamaa yake.

Na mungu unaye mlinganisha naye hakushiriki hata kidogo kwenye ayo Mambo
Wali shuulikiana wenyewe.
 
Back
Top Bottom